Wadau nahitaji msaada wenu katika hili, nawezaje kuunga namba yangu katika maongezi ya mtu mwingine. Hii ni kwa mfano, mtu apigiwe simu, ila mimi pia nipokee ila nisiwe na uwezo wa kuingilia mazungumzo kati yao lakini nisikie mazungumzo yote. Nitashukuru sana.