DENLSON JF-Expert Member Apr 28, 2013 944 1,252 Sep 3, 2016 #1 Je ni sahihi mtu kufanya kazi kwa zaidi ya masaa 15 kwa siku bila overtime?
nkanga chief JF-Expert Member May 31, 2016 2,084 1,620 Sep 3, 2016 #2 huo ni unyanyasaji wa hali ya juu sana kampuni gani mkuu hiyo kawaida huwa masaa manane ukizidisha lazima ulipwe overtime
huo ni unyanyasaji wa hali ya juu sana kampuni gani mkuu hiyo kawaida huwa masaa manane ukizidisha lazima ulipwe overtime
W Wamalinyi JF-Expert Member Aug 10, 2016 237 143 Sep 3, 2016 #3 mm nimefanya kampuni 3 tofauti ndio mchezo wao au Niyataje?
mbota JF-Expert Member Feb 24, 2012 1,040 559 Sep 3, 2016 #4 Hasa mashirika ya kidini unaanza kazi SAA mbili Asubuhi mpaka SAA kumi na moja jioni. Sidhani kama Ni sahihi
Hasa mashirika ya kidini unaanza kazi SAA mbili Asubuhi mpaka SAA kumi na moja jioni. Sidhani kama Ni sahihi