Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,898
- 32,310
Hii post muhimu ngoja tuipe hifadhi.ccm ikishinda ndo mwisho wangu wa kua JF!
Hii post muhimu ngoja tuipe hifadhi.ccm ikishinda ndo mwisho wangu wa kua JF!
SISIemu haina tofauti na hiyo ped unayovaa unapoenda mwezini!Sisa ya cdm ndio ilivyo kudadadeki lazima mbinuliwe kinyeo tu jpili
Makelele tu hivi nyienaibiwa kura kila siku?
Tukutane uwanja huu baada ya matokeo acheni kuwashwawashwa midomo nani anataka huo ujinga wa chadema subirini muone.
we unaeshiba makombo ya kuku kutoka kwa mabwana zako SISIemu unalala wapi kamasio kulaliwa nao?Ushashiba ubwabwa na maharage tafuta kivuli kilipo upumzike usubiri kijana mgimwa kuapishwa.
kalale we bwabwa una akili kawaambie upuuzi wako familia yako maana ndo iliyobakia ------- na akili mgando!wananchi wa kalenga mkapige kura kuchagua viongozi wenu, msitishwe na majigambo ya chadema, chama pekee chenye uhakika wa kuendelea kuwapa maisha mnayoyataka ni CCM. Kilifanya, mnalijua hilo, kinafanya na kitaendelea kuwa nanyi katika changamoto hizi za kimaendeleo.
tena uwambie MODS wa take note kabisaa na unafiki wao uliojaa wa kupendelea chama chakavu cha wanywa damu(VAMPIREs) na ma-agents wao RITZ na Leomimi ndio wakusanya damu. Kifupi JF imeshakua Bango la campaign La Masisiemu.Hii post muhimu ngoja tuipe hifadhi.
Mlioko Kalenga tafadhali hakikisheni kura hazichakachuliwi kabisa, mtu na mtu mguu kwa mguu mpaka matokeo,
Watanzania tumejiandaa kabisaaa kushangilia mumiani Ccm wakielekea kwenye anguko KUU!
PEOPLEEEEEEEEEES!!
Sijajua kama Polisi wana mamlaka ya kuzuia chombo chochote cha usafiri ambacho ni halali!!!!!
Tatizo hawa wenzetu wanajisahau sana, nafasi walizopewa inabidi wawe na upeo wa kuiona Tanzania nje ya ccm, cdm, tlp nk. Yuko hapo anakula pesa ya umma lakini hajui ni kiasi gani watu walitumia kupigana na ukabila alafu wao wanaibuka na kuanza kuuchochea upya, kisa!? washinde ubunge wa jimbo.Nimemskia kupitia redio ebon fm..... kimsingi ametumwa na ccm na amesema hapa si sombetin na si kwa wakulya wala wamasai....
Kwa maneno haya katumwa na alikuwa ana wasuta chadema
Hata iweje Chadema itarusha helkopita zake bila kikwazo chochote, bahati mbaya kwao nikuwa helkopita haihitaji uwanja mkubwa ili itue auvkupaaa,
Sasa tutapambana nae kwa nguvu zote, alionekana kama mtu anaefanya kazi kwa weledi lakini sasa sura yake halisi inaanza kujionyesha.