king's lawyer
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 408
- 357
Salamu wadau,
Pasaka haikuwa nzuri eneo nililolitaja na Tanesco wako kimya!tunavuja jasho na pilau ya sikukuu inaoza kwenye friji.
Hivi tatizo lolote lililopo limeshindwa kutatuliwa?na Tanesco muko kimya kwa masaa 24?na tunaelekea kwenye masaa 48 sasa,nini shida?
Pasaka haikuwa nzuri eneo nililolitaja na Tanesco wako kimya!tunavuja jasho na pilau ya sikukuu inaoza kwenye friji.
Hivi tatizo lolote lililopo limeshindwa kutatuliwa?na Tanesco muko kimya kwa masaa 24?na tunaelekea kwenye masaa 48 sasa,nini shida?