Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Jamani siyo kweli kuwa Dr. Mary Nagu kaangushwa.
Nagu ameshinda tena kwa kura nyingi, ila Rosemary Kamili wa CHADEMA amekataa kusaini fomu za matokeo.
Matokeo:
Nagu CCM: 38,000 +
Kamili CHADEMA: 21,000 +
Hata hivyo halmashauri itaongozwa na CHADEMA, kutokana na kati ya kata 25 za jimbo la Hanang, 13 zimechukuliwa na upinzani.
Nagu ameshinda tena kwa kura nyingi, ila Rosemary Kamili wa CHADEMA amekataa kusaini fomu za matokeo.
Matokeo:
Nagu CCM: 38,000 +
Kamili CHADEMA: 21,000 +
Hata hivyo halmashauri itaongozwa na CHADEMA, kutokana na kati ya kata 25 za jimbo la Hanang, 13 zimechukuliwa na upinzani.