monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,478
- 13,009
Nashukur sana Mkuu,kuna movie nilishawahi kuitazama miaka michache iliyopita kwenye movie hiyo muigizaji anakwenda kwa shetani kuomba utajiri na umaarufu,alitimiziwa mahtaji yake yote na shetani lkn alipigiwa mahesabu kwa muda atakaodumu ktk huo umaarufu na fedha zake kisha atakufa na atakapo kufa mwili wake utahfadhiwa na shetani mahali na viungo vya mwili vitatumika kwa matumizi mengine
Mwishoni,kila kitu kikawa kama vile walivyokubaliana na shetani...hiyo movie siikumbuki kwa jina!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwishoni,kila kitu kikawa kama vile walivyokubaliana na shetani...hiyo movie siikumbuki kwa jina!
Sent using Jamii Forums mobile app