OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,125
- 24,062
Dah alikuwa anaumwa? Kaacha pesa mingi sana. Kifo hakichagui dah!
Dah alikuwa anaumwa? Kaacha pesa mingi sana. Kifo hakichagui dah!
Yeah shuri ndo maina character kwenye black panther.. halafu tumtegemee Namor kuja MCU kama shuri akichukua mantle ya black pantherNahisi Black panther watamuacha kwenye BP2 kama Paul Walker, alafu wafocus na shuri kama kwenye comic.
Mbona hulk anazidi kuzeeka??Kuna muvi fulani ya Hulk Hogan, Ushaionaga. Ya kitambo..
Hapana huyu ni Character kutoka kwenye Comic
View attachment 1632560
Tony !! Anajua kuigiza yaan anaonekana ni mtu fulan big brain ata kwenye avengers huwa yy ndie kiongoz wao watu walikasirika sn alipokufa kwenye end game wacha wamrudishe tuFor sure watu wako excited kwa hili... Mimi Iron man naona anakuzwa tu..
T challa amefarik movie haiwez endeleaWapenzi wa Ant man nayo iko inafanyiwa maandalizi kwenye 2023 huko itakua imetoka..Black panther 2022 tu hapo Kitu kinajipa.
Huyu demu nampenda sana nilianza kumpenda kwenye Civil War alivyokuwa serious kumzuia Winter Soldier pale ofisini mbishi sana demu nampenda kwenye ulimwengu wa movie hivi sasaHappy 36 Black Widow moja kati ya crush wangu toka hollywood.. anyway sikupendi tena
View attachment 1633408View attachment 1633409
Moja ya Seríes ambayo nilitamani isiishe niiangalie tu maisha yangu yote ni Daredevil ila waliisitisha ghafla. Kwakweli iliniuma. Charlie Cox is my favorite actor na aliigiza vizuri sana kwenye hii seríes.Dare devil naikubali sana ila sijui why haikuletwa nyingine.
Cat woman pia niliichekigi ile ya kwanza ilikuwa mwaka 2008/2009. Ila nimeona Gal Gadot instagram anaicheza part 2.
Muvi au ni katuni za wakubwa
Mkuu umeicheki episode ya Mwisho ya What if...?Sema haujafuatilia ila ukifahamu utajua kuwa hamna watu wanaokosa utamu kama ambao hawaangalia movies za MCU unajua kuna ile connection ya kila kitu, kuna interdependence ya ajabu ambayo ukiwa fan, na unaifaham kama wengi waliosema humu wanaonekaja kujua hilo utaenjoy sana.
Maana tusiwe wabishi let’s face it Zaid ya MCU, DCEU na Disney ambao ndio Marvel wapo humo Hollywood hakuna kitu, hizo solo movies na sequels zinazotoka tangu corona ni disaster
Labda ukacheki Tv dramas za Shonda rhimes
Mkuu umeicheki episode ya Mwisho ya What if...?
Mpaka sasa MCU strongest character kuliko wote ni Doctor Strange Supreme hakuna cha Thor,Cap Marvel,Wanda,Vision, Steve nk.
Doctor strange supreme ni nouma asee...
Kunguru wa Manzese nadhani ubishi wetu umeisha wa nani powerful character
View attachment 1969098
Mate umetazama Hawkeye?? Sijaipenda kiivyo ngojq niipe muda. Nahisi ujio wa Echo mcu utakua ni mwanzo wa kuja Daredevil maana kuna uvumi kua Kingpin yumo kwenye hawkeye. Yaani naomba sana Mungu Daredevil awepo afu aigize Charlie Cox kama kawaidaNdugu yang nimeishia ya “What if Thor angekuwa the only son” episode,ana act kama spoiled brat..
nlikosa mda sema namalizia hizo zilizobaki hii weekend ... pamoja na hayo Dr strange ndio anaonekana the strongest kama ulivyosema.
Mate umetazama Hawkeye?? Sijaipenda kiivyo ngojq niipe muda. Nahisi ujio wa Echo mcu utakua ni mwanzo wa kuja Daredevil maana kuna uvumi kua Kingpin yumo kwenye hawkeye. Yaani naomba sana Mungu Daredevil awepo afu aigize Charlie Cox kama kawaida