Marufuku ya watangazaji wanawake wa Afghanistan kuziba nyuso zao yaanza kutekelezwa

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,023
1,609
Baada ya Uongozi wa Taliban kuagiza Watangazaji wote wa kike katika vituo vya runinga Nchini humo kuziba nyuso zao wanapokuwa wakitangaza mapema mwezi huu, hatimaye amri hiyo imeanza kutekelezwa baada ya wanawake kutoka vyombo vya habari mbalimbali kuonekana kutangaza huku nyuso zao zikiwa zimefunikwa

Inaelezwa kuwa baada ya baadhi ya wanawake kuonekana kutotii amri hiyo afisa wa Taliban alikaririwa akisema watazungumza na wasimamizi na walezi wa watangazaji hao, ambapo watangazaji hao wanakabiliwa na adhabu kali

Aidha, katika majuma ya hivi karibuni, Taliban inatajwa kutangaza marufuku mapya kwa wanawake nchini humo, ikiwa ni pamoja na kuwapa siku tofauti kutembelea maeneo ya umma na kuwazuia kufanya safari ndefu bila kuwa na msimamizi wa kiume.

————————-

Women presenters and reporters on TV channels in Afghanistan went on air with their faces covered on Sunday, in line with a Taliban order.

The day before, some of them had defied the edict and kept their faces visible.

One presenter said women working in TV had resisted but their employers had come under pressure.

After seizing power last year, the Taliban have increasingly imposed restrictions on women's lives in recent weeks.

Wearing hijabs and face-covering veils, women presented and reported on news bulletins and other programmes across popular channels such as TOLOnews, Ariana Television, Shamshad TV and 1TV.

TOLOnews presenter Farida Sial told the BBC: "It's OK that we are Muslims, we are wearing hijab, we hide our hair, but it's very difficult for a presenter to cover their face for two or three hours consecutively and talk like that."

She said she wanted the international community to put pressure on the Taliban to reverse the edict.

"They want to erase women from social and political life," she said.

Earlier the Taliban's Ministry for the Prevention of Vice and the Promotion of Virtue ordered that all women must wear a face veil in public, or risk punishment - which was extended to TV presenters from Saturday.

After some women initially refused to comply, a Taliban official said they would talk to the managers and guardians of the presenters, who face the prospect of being penalised.

Taliban order female TV presenters to cover faces
Women’s faces become latest Taliban restriction
Policing faces, bodies and beards on Kabul streets

Sonia Niazi, a presenter with TOLOnews, told the AFP news agency: "We resisted and were against wearing a mask."

But she said the channel was pressured and told that the female presenters must be moved to other jobs or sacked if they did not comply.

Khpolwak Sapai, the channel's deputy director, said in a post on Facebook: "We are in a deep grief today."
Female presenters on Afghanistan's 1TV channel
Image caption,
Female TV presenters fear they will be forced off air altogether, a senior TV executive said

Another female Afghan journalist, who asked not to be named, told the BBC: "Today is another black day for the women of my country."

And a senior TV executive said many female presenters fear the next stage will be to take them off air completely.

Most Muslims around the world do not consider women covering their faces in public to be a mandatory part of the religion, and the Taliban initially appeared to be adopting a more flexible approach after seizing control of the country in August last year.

But in recent weeks, they have imposed a series of restrictions on women's lives, including assigning separate days for them to visit public parks and barring them from making longer journeys without a male guardian.

Source: BBC
 
Hahahaha Ila Hawa Taliban they all think of Dini all the time, na wanachuki sijui tuseme na wanawake as if hawakuzaliwa na mwanamke
 
Wakija wale walioletewa dini bagamoyo watakwambia hiyo ndiyo haki.......hii mijamaa yaani ni mijinga kiwango cha lami......wanataka watu wajifiche wataonwa vipi ili waolewe......sijui unawezaje kununua mbuzi kwenye gunia
 
Hao Taliban ni wendawazimu,wawekeze nguvu kuijenga Afghan na sio kudeal na wanawake!
 
Baada ya Uongozi wa Taliban kuagiza Watangazaji wote wa kike katika vituo vya runinga Nchini humo kuziba nyuso zao wanapokuwa wakitangaza mapema mwezi huu, hatimaye amri hiyo imeanza kutekelezwa baada ya wanawake kutoka vyombo vya habari mbalimbali kuonekana kutangaza huku nyuso zao zikiwa zimefunikwa

Inaelezwa kuwa baada ya baadhi ya wanawake kuonekana kutotii amri hiyo afisa wa Taliban alikaririwa akisema watazungumza na wasimamizi na walezi wa watangazaji hao, ambapo watangazaji hao wanakabiliwa na adhabu kali

Aidha, katika majuma ya hivi karibuni, Taliban inatajwa kutangaza marufuku mapya kwa wanawake nchini humo, ikiwa ni pamoja na kuwapa siku tofauti kutembelea maeneo ya umma na kuwazuia kufanya safari ndefu bila kuwa na msimamizi wa kiume.

————————-

Women presenters and reporters on TV channels in Afghanistan went on air with their faces covered on Sunday, in line with a Taliban order.

The day before, some of them had defied the edict and kept their faces visible.

One presenter said women working in TV had resisted but their employers had come under pressure.

After seizing power last year, the Taliban have increasingly imposed restrictions on women's lives in recent weeks.

Wearing hijabs and face-covering veils, women presented and reported on news bulletins and other programmes across popular channels such as TOLOnews, Ariana Television, Shamshad TV and 1TV.

TOLOnews presenter Farida Sial told the BBC: "It's OK that we are Muslims, we are wearing hijab, we hide our hair, but it's very difficult for a presenter to cover their face for two or three hours consecutively and talk like that."

She said she wanted the international community to put pressure on the Taliban to reverse the edict.

"They want to erase women from social and political life," she said.

Earlier the Taliban's Ministry for the Prevention of Vice and the Promotion of Virtue ordered that all women must wear a face veil in public, or risk punishment - which was extended to TV presenters from Saturday.

After some women initially refused to comply, a Taliban official said they would talk to the managers and guardians of the presenters, who face the prospect of being penalised.

Taliban order female TV presenters to cover faces
Women’s faces become latest Taliban restriction
Policing faces, bodies and beards on Kabul streets

Sonia Niazi, a presenter with TOLOnews, told the AFP news agency: "We resisted and were against wearing a mask."

But she said the channel was pressured and told that the female presenters must be moved to other jobs or sacked if they did not comply.

Khpolwak Sapai, the channel's deputy director, said in a post on Facebook: "We are in a deep grief today."
Female presenters on Afghanistan's 1TV channel
Image caption,
Female TV presenters fear they will be forced off air altogether, a senior TV executive said

Another female Afghan journalist, who asked not to be named, told the BBC: "Today is another black day for the women of my country."

And a senior TV executive said many female presenters fear the next stage will be to take them off air completely.

Most Muslims around the world do not consider women covering their faces in public to be a mandatory part of the religion, and the Taliban initially appeared to be adopting a more flexible approach after seizing control of the country in August last year.

But in recent weeks, they have imposed a series of restrictions on women's lives, including assigning separate days for them to visit public parks and barring them from making longer journeys without a male guardian.

Source: BBC
Wako Sawa ni nchi yao
 
ukidhibiti wanawake umedhibiti vishawishi vya shetani kwa asikimia kubwa.

hongereni Taliban na Allah awasaidie
 
Hivi niulize swali Dogo tu nyie ndugu zetu Hawa. Hivi ingekua waislamu wanatawala hii dunia. Dunia ingekua kwenye hali. Watu wote si tungesilimu

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom