luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,021
- 21,263
Hii ni emergence kipind hiki ni cha muda, wavumilie.Watu msiopanda daladala mnaonaga rahisi sana, gari ya kutoka tegeta to kkoo abiria wa kwanza kushuka ni moroco utapakia abiria gani tena kuanzia hapo?
Yaani hata kwa akili ya kawaida haiwezekani hata kidogo, mwendokasi ya serikali wenyewe wameshindwa pakia level seat
Sent using Jamii Forums mobile app