Marufuku ya kuuza chakula Zanzibar yaiponza Serikali, yatakiwa kulipa faini mfanyabiashara kwa kumfungia

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,814
18,808
Mfanyabiashara wa Zanzibar aitwaye Mbawala alikutwa na manispaa akinywa pombe mwezi wa Ramadhani na kukamatwa kisha kuamriwa kuifunga biashara yake na kunyang'anywa leseni

Mbawala baada ya kuifunga aliipeleka manispaa mahakamani na manispaa ikaamriwa kumlipa Mbawala milioni 37
Manispaa ikagoma kulipa, sasa Mbawala akaenda kubeba gari la manispaa

Sikiliza zaidi hapa




Chanzo: Jahazi, Clouds FM
 
Wacha kupotosha kesi ya MBAWALA haihusiani na Mwez wa Ramazan Manispaa iliwafungia kwa kukiuka sheria ya Vileo ndipo akakata rufa mnaham wa kuiona ZANZIBAR inaacha silka mila na desturi zao

Lkn mkifanya hivi mm binafsi nafurahi sana coz kuna baadhi ya Wazanzibar wenye akili ya kisisiemu huwa hawatuelewi hvyo Hayo muyafanyao mnawatoa matongo karibuni WAZANZIBAR WATAONGEA LUGHA MOJA
Na hapo sasa mtaelewa kama HII NI NCHI NA INAMAAMUZI YAKE
Mfanyabiashara wa Zanzibar aitwaye Mbawala alikutwa na manispaa akinywa pombe mwezi wa Ramadhani na kukamatwa kisha kuamriwa kuifunga biashara yake na kunyang'anywa leseni

Mbawala baada ya kuifunga aliipeleka manispaa mahakamani na manispaa ikaamriwa kumlipa Mbawala milioni 37
Manispaa ikagoma kulipa, sasa Mbawala akaenda kubeba gari la manispaa

Sikiliza zaidi hapa




Chanzo: Jahazi, Clouds FM
 
Wacha kupotosha kesi ya MBAWALA haihusiani na Mwez wa Ramazan Manispaa iliwafungia kwa kukiuka sheria ya Vileo ndipo akakata rufa mnaham wa kuiona ZANZIBAR inaacha silka mila na desturi zao

Lkn mkifanya hivi mm binafsi nafurahi sana coz kuna baadhi ya Wazanzibar wenye akili ya kisisiemu huwa hawatuelewi hvyo Hayo muyafanyao mnawatoa matongo karibuni WAZANZIBAR WATAONGEA LUGHA MOJA
Na hapo sasa mtaelewa kama HII NI NCHI NA INAMAAMUZI YAKE
tangia lini mtawaliwa akawa na maamuzi? hahahahahahhah poleni sana
 
Serikali Ya Zanzibar si ya kidini, iweje kutukuza utamaduni wa watu wa uarabuni kiasi hicho? Mambo ya kufunga kula ni ya kiimani na hayana madhara kwa ambaye hafungi kula. Inashangaza Sana Serikali Ya Kisekula Kushadidia Mambo Ya Dini Kana Kwamba inaongozwa kwa misingi ya dini hiyo yenye asili ya uarabuni
 
Back
Top Bottom