Marufuku ya biashara ya nguo za mitumba, wafanyabiashara tukimbilie wapi?

Nisa Nisa

Member
Jun 25, 2016
12
6
Habari naomba ujumbe umfikie mheshimiwa... Mimi ni binti yatima sina baba kakangu ndo kanisomesha tangu form one mpaka chuo kikuu kwa hii biashara ya mtumba nmemaliza chuo nmekosa ajira nmeamua kujiingiza kwenye hii biashara ya mtumba..alafu Leo hii nasikia unaifungia.. MUNGU WANGU TUEPUSHE SISI WAJA WAKO AMINA
 
Habari naomba ujumbe umfikie mheshimiwa... Mimi ni binti yatima sina baba kakangu ndo kanisomesha tangu form one mpaka chuo kikuu kwa hii biashara ya mtumba nmemaliza chuo nmekosa ajira nmeamua kujiingiza kwenye hii biashara ya mtumba..alafu Leo hii nasikia unaifungia.. MUNGU WANGU TUEPUSHE SISI WAJA WAKO AMINA
Karibu sana jamvini.
 
Habari naomba ujumbe umfikie mheshimiwa... Mimi ni binti yatima sina baba kakangu ndo kanisomesha tangu form one mpaka chuo kikuu kwa hii biashara ya mtumba nmemaliza chuo nmekosa ajira nmeamua kujiingiza kwenye hii biashara ya mtumba..alafu Leo hii nasikia unaifungia.. MUNGU WANGU TUEPUSHE SISI WAJA WAKO AMINA

Utaisoma namba
 
Hivi si walishazuia soksi, chupi ,sidiria. Naamini hivyo havipo tena sokoni.
Huu ni uamuzi mmoja mbaya sana. Je tutavaa nini? Au kwa kuwa wao wananunuliwa nguo kutoka kwa wabunifu hawajui watu wa chini tunavaa nini. Tusuburi ila siamini. Acha niweke akiba ya maneno
 
Hivi si walishazuia soksi, chupi ,sidiria. Naamini hivyo havipo tena sokoni.
Huu ni uamuzi mmoja mbaya sana. Je tutavaa nini? Au kwa kuwa wao wananunuliwa nguo kutoka kwa wabunifu hawajui watu wa chini tunavaa nini. Tusuburi ila siamini. Acha niweke akiba ya maneno
na wananchi wengi mtumba ndo nguo zetu haijarishi kipato ulichonacho
 
Binafsi niliacha kuvaa nguo za madukani tangu 1990.hapo nitakuwa mgeni mkipiga marufuku.
Aaah ngoja tusubiri binafsi namuomba saana Mungu isipigwe marufuku make tayari nshawekeza saana kwa hii biashara na wadogo zangu wanaendelea kusoma kwa hii biashara
 
Fanya mpango nenda Johannesburg si umesoma na hela ndogo tuu kanunue nguo za watoto na viatu na mawigi ya kike vipo bei chini...nguo au vitu vya watoto havina kodi kwa vinatongenezwa pale vipo bei ndogo utapata faida...maduka ya pep na mr price kule ndio maduka ya watu wa hali ya chini ila vitu vyao ni bora hata jet na Edgars pia ukichanganya sio mbaya hayo maduka yapo kerk street mbele ya mahakama aliyohukumiwa Mandela...na bongo utalipia kodi vizuri tuu maisha yataenda usikwepe kulipa kodi utapoteza mtaji hata kama ni mdogo....ukienda huko utajifunza vingi kwa kuwa wewe ni mjasiriamali.
 
Fanya mpango nenda Johannesburg si umesoma na hela ndogo tuu kanunue nguo za watoto na viatu na mawigi ya kike vipo bei chini...nguo au vitu vya watoto havina kodi kwa vinatongenezwa pale vipo bei ndogo utapata faida...maduka ya pep na mr price kule ndio maduka ya watu wa hali ya chini ila vitu vyao ni bora hata jet na Edgars pia ukichanganya sio mbaya hayo maduka yapo kerk street mbele ya mahakama aliyohukumiwa Mandela...na bongo utalipia kodi vizuri tuu maisha yataenda usikwepe kulipa kodi utapoteza mtaji hata kama ni mdogo....ukienda huko utajifunza vingi kwa kuwa wewe ni mjasiriamali.
Asante saana kwa ushahuri mzuri ntaufanyia kazi
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom