mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,661
- 18,035
Yaani wewe ucomment na wenzio wasicomment? Hicho kitu hakipo!! Usiogope mawazo mbadala! Hakuna anayelazimishwa kuchukuwa mawazo mbadala!! Na wewe weka mawazo yako na watu wasilazimishwe mawazo yako pia!! Vinginevyo anayeona chanjo inafaa asicomment na anayeona chanjo haifai asicomment!! La sivyo wote wacomment!! Amini kuwa kama hoja zako ni nzuri kuhusu chanjo watu wataziamini na hoja zingine watazikataa. Au hauziamini hoja zako kuwa zitashawishi watu wachanjwe? Unaona hoja zako zimezidiwa nguvu?Kila mtu na hiari yake, anaeona chanjo haifai asicomment tafazali, atulie kimyaa kama hajaiona mada.