TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,730
- 21,129
Habari zilizopatikana hivi punde ni kuwa mahakama nchini imepiga marufuku mjadala wa account ya Escrow kutokana na kwamba mahakama bado haijatoa maamuzi, hivo basi hakuna mtu kujiuzuru au kuondoka madarakani hasa kwa wale walio waliokuwa wanashadidiwa wabanwe.
Wanajamvi kazi ipo hapo na hii ndo nchi yetu.
Source;
Breaking news Radio One.
Wanajamvi kazi ipo hapo na hii ndo nchi yetu.
Source;
Breaking news Radio One.