Ni mtazamo wangu, hebu naomba maoni yenu wake kwa waume, just imagine ikatokea leo kufanya ngono kati ya mwanaume na mwanamke kukapigwa marufuku, wewe binafsi unafikiri nani kati ya mwanamke na mwanaume atakuwa wa kwanza kuleta upinzani dhidi ya marufuku hiyooo???