Marubani wa ajali ya Ndege ya ATCL wanaitaji Kupewa pongezi

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
serikali imeombwa kuwapa tuzo maalum Marubani waliokuwa wakirusha ndege ya ATCL iliopata matatizo huko mwanza ambapo walifanikiwa kunusuru uhai wa watu zaidi ya 49
akiongea kwa masikitiko mh shibuda j amesema serikali aina tabia ya kuwashukuru watu wanaoweza kuokoa roho za watu kwenye vyombo vya usalama na matokeo yake kufanya kazi bila kuwa na morali
ameshauri serikali ianze kwa kuwapa tuzo marubani walioweza kuokoa roho za watu 49 vinginevyo sa hizi tungekuwa tukiongea mengine,namnukuu mh shibuda,...watu wengi wamekuwa wakituma msg kutoa pole na kuwashukuru marubani kwa uwezo wao waliouwenyesha na kuwataka madereva wa barabarani waige mfano,...wakati huohuo abiria waliokufa kwenye basi la AM kutokea arusha wamefikia 22 toka 10 waliotangazwa mwanzoni,....

Kwa niaba ya JF tunawapongeza marubani kwa kazi zao nzuri ,tunatambua uwezo wenu mliounyesha ,..muendelee hivyo hivyo kuokoa roho za watu pale mnapoitajika bila kumkumbuka MUNGU kwanza katika Safari yenu Bila yeye hata msingeweza kufanikiwa mlichofanya
 
Naunga mkono mia kwa mia wazo hili, ukitilia maanani jinsi walivyo jitahidi na kunusuru maisha ya abiria wote! Nina imani rubani awapo angani, hana macho wala masikio, macho yake na masikio ni ushauri kutoka "control tower" iwapo watamwambia uwanja ni salama basi rubani hana budi kufuata maelekezo hayo bila ya kuhoji zaidi, sasa marubani hawa, ambao kwa habari nilizozipata, mmoja wao ni Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji Capt. Ibanda, na mwingine ni rubani mzoefu Capt Mwakang'ata, sio tu walitumia ujuzi wao wa hali ya juu, bali walifanya kazi ya ziada kuhakikisha kuwa abiria wote wanasalimika. Hili ni la kujivunia kuwa tuna waTanzania wenye uwezo wa hali ya juu kama hii. Mcheza kwao hutunzwa! na wao hali kadhalika.
 
serikali imeombwa kuwapa tuzo maalum Marubani waliokuwa wakirusha ndege ya ATCL iliopata matatizo huko mwanza ambapo walifanikiwa kunusuru uhai wa watu zaidi ya 49
akiongea kwa masikitiko mh shibuda j amesema serikali aina tabia ya kuwashukuru watu wanaoweza kuokoa roho za watu kwenye vyombo vya usalama na matokeo yake kufanya kazi bila kuwa na morali
ameshauri serikali ianze kwa kuwapa tuzo marubani walioweza kuokoa roho za watu 49 vinginevyo sa hizi tungekuwa tukiongea mengine,namnukuu mh shibuda,...watu wengi wamekuwa wakituma msg kutoa pole na kuwashukuru marubani kwa uwezo wao waliouwenyesha na kuwataka madereva wa barabarani waige mfano,...wakati huohuo abiria waliokufa kwenye basi la AM kutokea arusha wamefikia 22 toka 10 waliotangazwa mwanzoni,....

Kwa niaba ya JF tunawapongeza marubani kwa kazi zao nzuri ,tunatambua uwezo wenu mliounyesha ,..muendelee hivyo hivyo kuokoa roho za watu pale mnapoitajika bila kumkumbuka MUNGU kwanza katika Safari yenu Bila yeye hata msingeweza kufanikiwa mlichofanya

Sioni sababu ya wao kupewa zawadi, labda pongezi za maneno zinatosha.
Hilo lilikua jukumu lao,na wasingefanya hivo, hata wao wangekuwa wanachungulia kifo.
Mbona madaktari wengi huwa wanaokoa maisha ya watu hasa wakati wa majanga kama ya kipindupindu na hakuna pongezi wanazopewaga??
 
Hizo ni siasa tu, ndege ilipata matatizo wakati imeishatua MICHUZI BLOG anasema eti maji ya uwanjani ndio yalisababisha iteleze, wizi mtupu ndege na uzito wake izuiliwe na vimaji???????

SUBIRINI WATALAAM watueleze chanzo cha ajali ndio muwaze hizo tuzo.
 
Sioni sababu ya wao kupewa zawadi, labda pongezi za maneno zinatosha.
Hilo lilikua jukumu lao,na wasingefanya hivo, hata wao wangekuwa wanachungulia kifo.
Mbona madaktari wengi huwa wanaokoa maisha ya watu hasa wakati wa majanga kama ya kipindupindu na hakuna pongezi wanazopewaga??

Napenda kutoa msisitizo,

Tuachane na mambo ya kishabiki. Hawa marubani hawana haja ya kupewa tuzo kwa sababu ni wajibu wake kuhakikisha usalama wa chomba na abiria.

Sisi tumezoea kupeana sifa za kijinga, za kinafiki, za kisiasa. Mtu akitimiza wajibu wake haitaji kupongezwa. Vivyo hivyo asipotimiza wajibu wake anatakiwa kuadhibiwa.
 
Thanx God ile ndege haikuleta shida kwa abiria.

Pilots WALIOKOA NINI WAKATI NDEGE IKO RIGHT-OFF ile?

Ni kwamba ndege iliongoza porini, na wao hawakuwa na cha kufanya wakaiacha iende hivyohivyo!...

Mi nilitegemea uwasifu wale Air-Hostesses kwa kuwatuliza abiria na kuwafanya wakae kimya kwa utulivu bila kuanzisha vurugu!..lau wange'behave tofauti, wangesababisha madhara makubwa sana.
 
serikali imeombwa kuwapa tuzo maalum Marubani waliokuwa wakirusha ndege ya ATCL iliopata matatizo huko mwanza ambapo walifanikiwa kunusuru uhai wa watu zaidi ya 49
akiongea kwa masikitiko mh shibuda j amesema serikali aina tabia ya kuwashukuru watu wanaoweza kuokoa roho za watu kwenye vyombo vya usalama na matokeo yake kufanya kazi bila kuwa na morali
ameshauri serikali ianze kwa kuwapa tuzo marubani walioweza kuokoa roho za watu 49 vinginevyo sa hizi tungekuwa tukiongea mengine,namnukuu mh shibuda,...watu wengi wamekuwa wakituma msg kutoa pole na kuwashukuru marubani kwa uwezo wao waliouwenyesha na kuwataka madereva wa barabarani waige mfano,...wakati huohuo abiria waliokufa kwenye basi la AM kutokea arusha wamefikia 22 toka 10 waliotangazwa mwanzoni,....

Kwa niaba ya JF tunawapongeza marubani kwa kazi zao nzuri ,tunatambua uwezo wenu mliounyesha ,..muendelee hivyo hivyo kuokoa roho za watu pale mnapoitajika bila kumkumbuka MUNGU kwanza katika Safari yenu Bila yeye hata msingeweza kufanikiwa mlichofanya
its about time tuwe serious, if anything neneni nyumba za ibada mshuku Munfgu na kutoa sadaka ya shukrani, sio habari za kuwapa zawadi watu wanaofanya kazi yao waliosomea ipasavyo. They did what they should have done, sasa zawadi ya nini kwa mtu kufanya kazi yake kwa ufanisi, something we expect of him? Mbona watu wanaoharibu hamsemi waadhibiwe?
 
Subirini uchunguzi ufanyike kwanza, pengine ilikuwa pilot error! Hivi mamlaka ya hali ya hewa ya Mwanza haikuwataadharisha marubani wa ATCL kuhusu hali ya hewa kabla ya kutua? Kuna mengi ya kuchunguza.
 
Ni kushukuru Mungu tu kua tatizo halikutokea wakiwa angani, hata hivyo kuwashukuru kwa kazi nzuri ni jambo la muhimu na la busara sababu wangekua wazembe pia labda ndugu zetu wangepoteza maisha, wao ndio marubani wanajua zaidi sisi tutaongea na makelele mengi lakini pengine bila utaalamu zaidi baada ya maji kuingia kwenye engine labda watu wangepoteza maisha tu.
 
kama hivyo atadereva wa AM coach kama yuko hai nae apewe pongezi kwani ameokoa watu wengeni waliobaki ukiondoa hao 22 waliofariki
 
Midege mibovu, vifaa vya kuongozea ndege navyo chakavu.
Kweli marubani wetu wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana.
Hakika wanahitaji pongezi
 
Kwa niaba ya JF tunawapongeza marubani kwa kazi zao nzuri ,tunatambua uwezo wenu mliounyesha ,..muendelee hivyo hivyo kuokoa roho za watu pale mnapoitajika bila kumkumbuka MUNGU kwanza katika Safari yenu Bila yeye hata msingeweza kufanikiwa mlichofanya
mzee umewasahau wafiwa (wahanga la ajali ya basi la AM!
 
Kwa niaba ya JF tunawapongeza marubani kwa kazi ... bila kumkumbuka MUNGU kwanza katika Safari

Hata mmiliki na viongozi wa jamvi hili, kina Invisible, hawawezi kusema kitu "kwa niaba ya wana JF."

Kuna wengine, kama mimi, ninadhani hawa marubaini inawezekana walifanya uzembe wa kulazimisha kutua sehemu yenye hali ya hewa iliyochafuka; labda ingebidi waende K.I.A au warudi DAR.

Au inawezekana kweli hawakujua kwamba hali hairuhusu kutua, yani walipotoshwa na waongoza ndege; na kama hivyo ndivyo basi wawe wazalendo, wapige filimbi, waseme "jamani eeeh, shirika letu la ATC lilitaka kuua watu kwa uzembe wa waongoza ndege." Hapo ndo nitaseme marubani wanastahili pongezi.

Aidha, si wote tunaoamini katika uhusika wa Mungu katika maajali yanayotumaliza Watanzania kila kukicha. Inawezekana kwa hilo amejitoa, na si ajabu hayupo kabisa!

Kwa hiyo, bwana Impossible, unapotuongelee wote kwa ujumla wetu JF kupongeza watu ATC, mimi nitoe!
 
Subirini uchunguzi ufanyike kwanza, pengine ilikuwa pilot error! Hivi mamlaka ya hali ya hewa ya Mwanza haikuwataadharisha marubani wa ATCL kuhusu hali ya hewa kabla ya kutua? Kuna mengi ya kuchunguza.


WAMEPEWA GO AHEAD WATUE HALI SHWARI


Subirini uchunguzi ufanyike kwanza

UNAIJUA TCAA VIZURI

USANIIALIAZATION MTUPU HAKUNA KIPYA UTAKACHOSIKIA
 
hata mmiliki na viongozi wa jamvi hili, kina invisible, hawawezi kusema kitu "kwa niaba ya wana jf."

kuna wengine, kama mimi, ninadhani hawa marubaini inawezekana walifanya uzembe wa kulazimisha kutua sehemu yenye hali ya hewa iliyochafuka; labda ingebidi waende k.i.a au warudi dar.

Au inawezekana kweli hawakujua kwamba hali hairuhusu kutua, yani walipotoshwa na waongoza ndege; na kama hivyo ndivyo basi wawe wazalendo, wapige filimbi, waseme "jamani eeeh, shirika letu la atc lilitaka kuua watu kwa uzembe wa waongoza ndege." hapo ndo nitaseme marubani wanastahili pongezi.

Aidha, si wote tunaoamini katika uhusika wa mungu katika maajali yanayotumaliza watanzania kila kukicha. Inawezekana kwa hilo amejitoa, na si ajabu hayupo kabisa!

Kwa hiyo, bwana impossible, unapotuongelee wote kwa ujumla wetu jf kupongeza watu atc, mimi nitoe!

mkuu tukiwa tunaendelea kutafuta chanzo mpaka sasa tumepata na kusikia sauti za waongoza ndege na marubani wakijulishwa watue uwanja uko salaama
...mengine tutawapa baadae baada ya uchunguzi
 
kama hivyo atadereva wa AM coach kama yuko hai nae apewe pongezi kwani ameokoa watu wengeni waliobaki ukiondoa hao 22 waliofariki
aminia mkuu,maajali mengi yanaokokeka mazee mbona zawadi hzitolewi?angalieni MV arena hapo kigamboni kila siku inazimika ndani ya maji mbona manahodha hawapewi zawadi?Ndege yenyewe ni mbovu kwa nini wasitengeneze tuuuuuuuuuuuuuuuuuu zawadi zawadi kuna watoto na kina mama kibao mahospitalini bora hizo zawadi wanunue vitendea kazi...
 
serikali imeombwa kuwapa tuzo maalum Marubani waliokuwa wakirusha ndege ya ATCL iliopata matatizo huko mwanza ambapo walifanikiwa kunusuru uhai wa watu zaidi ya 49
akiongea kwa masikitiko mh shibuda j amesema serikali aina tabia ya kuwashukuru watu wanaoweza kuokoa roho za watu kwenye vyombo vya usalama na matokeo yake kufanya kazi bila kuwa na morali
ameshauri serikali ianze kwa kuwapa tuzo marubani walioweza kuokoa roho za watu 49 vinginevyo sa hizi tungekuwa tukiongea mengine,namnukuu mh shibuda,...watu wengi wamekuwa wakituma msg kutoa pole na kuwashukuru marubani kwa uwezo wao waliouwenyesha na kuwataka madereva wa barabarani waige mfano,...wakati huohuo abiria waliokufa kwenye basi la AM kutokea arusha wamefikia 22 toka 10 waliotangazwa mwanzoni,....

Kwa niaba ya JF tunawapongeza marubani kwa kazi zao nzuri ,tunatambua uwezo wenu mliounyesha ,..muendelee hivyo hivyo kuokoa roho za watu pale mnapoitajika bila kumkumbuka MUNGU kwanza katika Safari yenu Bila yeye hata msingeweza kufanikiwa mlichofanya

Kuna watu wamefanya vt vikubwa kwelikweli hat biscut na haya mambbo ya media ndo sasa yanatuletea sakata la Jerry Muro!
 
Wabongo tumezoea kutoa Rambirambi na sio Pongezi kwa ushujaa wa mtu..Yaani mpaka yatokee maafa ndo tunaanza kujipanga na kuwa serious....Binafsi kama msafiri wa Angani hao marubani imekuwa kama kudra ya mwezi mungu kwa jinsi inavyoonekana ndege ilitua kwa kutokea upande wa ziwani na sio huu upande mwingine,Ni kweli tungekuwa tunazungumza mengine kama ingeserereka mpaka kwenye ziwa..
 
Si mnileetee jamani hizo zawado
nipeleke kids organizaition walezi wa watoto yatima
mpate baraka....hiyo ndio kazi yao ukisema hivyo
dk silaa nae atatakiwa apewe zawadi,....
Anna kilango zawadi
rostam zawadi -kwa kuweza kuchota mabiliion miaka yote na upumbafu wa watanzania
lowassa apewe zawadi kwa kukubali kujiuzuru

wengi wwengi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

hizi sawadi nileteen mimi nkagawe kwa yatima
 
Back
Top Bottom