Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,988
serikali imeombwa kuwapa tuzo maalum Marubani waliokuwa wakirusha ndege ya ATCL iliopata matatizo huko mwanza ambapo walifanikiwa kunusuru uhai wa watu zaidi ya 49
akiongea kwa masikitiko mh shibuda j amesema serikali aina tabia ya kuwashukuru watu wanaoweza kuokoa roho za watu kwenye vyombo vya usalama na matokeo yake kufanya kazi bila kuwa na morali
ameshauri serikali ianze kwa kuwapa tuzo marubani walioweza kuokoa roho za watu 49 vinginevyo sa hizi tungekuwa tukiongea mengine,namnukuu mh shibuda,...watu wengi wamekuwa wakituma msg kutoa pole na kuwashukuru marubani kwa uwezo wao waliouwenyesha na kuwataka madereva wa barabarani waige mfano,...wakati huohuo abiria waliokufa kwenye basi la AM kutokea arusha wamefikia 22 toka 10 waliotangazwa mwanzoni,....
Kwa niaba ya JF tunawapongeza marubani kwa kazi zao nzuri ,tunatambua uwezo wenu mliounyesha ,..muendelee hivyo hivyo kuokoa roho za watu pale mnapoitajika bila kumkumbuka MUNGU kwanza katika Safari yenu Bila yeye hata msingeweza kufanikiwa mlichofanya
akiongea kwa masikitiko mh shibuda j amesema serikali aina tabia ya kuwashukuru watu wanaoweza kuokoa roho za watu kwenye vyombo vya usalama na matokeo yake kufanya kazi bila kuwa na morali
ameshauri serikali ianze kwa kuwapa tuzo marubani walioweza kuokoa roho za watu 49 vinginevyo sa hizi tungekuwa tukiongea mengine,namnukuu mh shibuda,...watu wengi wamekuwa wakituma msg kutoa pole na kuwashukuru marubani kwa uwezo wao waliouwenyesha na kuwataka madereva wa barabarani waige mfano,...wakati huohuo abiria waliokufa kwenye basi la AM kutokea arusha wamefikia 22 toka 10 waliotangazwa mwanzoni,....
Kwa niaba ya JF tunawapongeza marubani kwa kazi zao nzuri ,tunatambua uwezo wenu mliounyesha ,..muendelee hivyo hivyo kuokoa roho za watu pale mnapoitajika bila kumkumbuka MUNGU kwanza katika Safari yenu Bila yeye hata msingeweza kufanikiwa mlichofanya