Martin Ngoga wa Rwanda achaguliwa Spika Bunge la Afrika Mashariki. Tanzania na Burundi wasusia uchaguzi huo

Sometimes kuna watu vichwa vyao havifanyi kazi, sababu ya Tanzania kutaka kuwa na mgombea wa kiti cha Speaker ni ipi wakati sio zamu yetu?..stupid

Ukiona Tanzania wana ng'ang'ania hicho kiti, ujuwe wamenusa harufu ya maslahi watakayo yapata wakikalia hicho kiti. There is no such a thing as free lunch
 
hivi hili bunge linatusaidia nini sisi watu wa afrika mashariki,embu nijuzeni wadau...

Kwa hivi sasa wananchi wa kawaida ni vigumu kuona umuhimu wa bunge hili kwasababu shughuli nyingi za kibunge zina husu serikali zilizo ndani ya jumiya, mfano kujenga ofisi moja mipakani, ujenzi wa reli na barabara za kuunganisha nchi wanachama nk. Lakini miaka michache ijayo wananchi wakawaida wataanza kuona umuhimu wa hichi chombo pale kitakapoanza kutunga sheria zinazo gusa maisha ya kila raia wa jumuiya. Vitu kama hati moja ya kusafiria, ufanyaji biashara kwa nchi zote wanachama, sarafu moja, elimu moja, siasa hata haki za msingi za kila raia wa jumuiya nk.
 
Wala sio kweli, kwasababu mjumbe mmoja alieleza kuwa mkutano mkuu wa CCM msimamo wake no kwamba hii ni zamu ya Rwanda, sio Tanzania, kwahiyo maamuzi ya kuweka mgombea speaker hayana baraka za chama na Serikali
Sijui unaongea vitu gani,eti" hayana baraka ya chama na sweikali" real??
 
Kwa hivi sasa wananchi wa kawaida ni vigumu kuona umuhimu wa bunge hili kwasababu shughuli nyingi za kibunge zina husu serikali zilizo ndani ya jumiya, mfano kujenga ofisi moja mipakani, ujenzi wa reli na barabara za kuunganisha nchi wanachama nk. Lakini miaka michache ijayo wananchi wakawaida wataanza kuona umuhimu wa hichi chombo pale kitakapoanza kutunga sheria zinazo gusa maisha ya kila raia wa jumuiya. Vitu kama hati moja ya kusafiria, ufanyaji biashara kwa nchi zote wanachama, sarafu moja, elimu moja, siasa hata haki za msingi za kila raia wa jumuiya nk.

Asante,nimeipenda.
 
hivi hili bunge linatusaidia nini sisi watu wa afrika mashariki,embu nijuzeni wadau...
Hujajua tu?
Umewai fika mipaka ya Tanzania na nchi za EAC ukaona mabadiliko yaliyofanyika?
Ungekuwa pia unafanya biashara ndani ya EAC au una ndugu yako anasoma Kenya/Uganda usingeuliza hilo swali
 
Back
Top Bottom