guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
hii mada inafikirisha sana
Mtanzania shukrani hana kama kunguru anamuibia mtu nyama ya ndani ya sufuria halafu akimkuta kavaa shati jeupe analichafua na kinyesi.Upinzani ndani ya nchi hii ni hopeless
mnataka mama awafanyie nini?
amteue mbowe kuwa dc ndio muone yuko sahihi?
mmepewa uhuru sasa mnajizungusha nchi nzima mnahubiri mambo yenu bila usumbufu kitu ambacho hakikuwepo kwa miaka 5 iliyopita lakini bado mama mbaya
muwe na upeo wa kushukuru
Taarabu jazi band,, akili zako azina akili, upambe wakishamba sana unaleta humu.Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.
Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.
Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.
Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.
Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
NaniSoma post namba moja kwa kina. Usiwe mvivu wa kusoma, kimeandikwa alichokosa kiikamfukuzisha ubunge.
Soma.Nani
Wapi na niniSoma.
Hapo umenena, hakuna sheria wala kanuni,Kama bunge limewashikilia wakina mama 19 wasio na chama, wanaoitwa wabunge wa upinzani bungeni. Mbona hili la Nasari ni cha mtoto.
Hii ndiyo Tanzania.
Kwani hata aliyekuwepo alifika wapi na tabia yake ya kudhurumu haki za watu. Anaweza kuamua kuchukua mwenendo wa mwendzake lkn hatafika mbali.Na mkiendelea hivi hiyo habari ya mikutano na the so called wapinzani wa kweli itapotelea hewani. Haina hata haja ya kuwakaribisha.
Sisi tutamkumbusha aachane na hizo habari maana Mheshimiwa Kikwete alifanya hivyo na hakuna tija yoyote iliyopatikana law kukutana na hao wanaojiita wapinzani wa kweli. Zaidi zaidi walikwenda tu kunywa chai ikulu na kuongeza gharama zisizo za msingi.
Kwa tabia zenu hizi Wallahi haya mambo ya katiba mpya na tume huru pia yanaweza yakapeperuka na to be honest my friend hamna mtakaloweza kumfanya mama. Ni hisani na busara zake tu. Ni mapenzi yake kwa taifa lake tu, hivyo musitake kumvuruga.
Eti anatoka mtu na kusema hatuwezi kumbembeleza na tutapaza sauti. You are not being realistic.
Muwe na staha wakuu
Ni baada ya kumuumbua Mnyeti akinunua madiwani.Mm ninachojua alichokifanya nasari ulikua mpango mkakati wa mwendazake akishirikiana Kwa Karibu na aliyekua mkuu wa wilaya ALEXANDA MNYETI.
au mmesahau huo mkakati?
Hivyo kuvuliwa ubunge Kwa nasari halikua jambo LA Bahati mbaya la lilikua ni jambo LA makusudi na spika Ndugai alijulishwa kinachoendelea