Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Jana nilikuwa naangalia kipindi cha TBC sijui kinaitwa ....This week perspective cha mzee Simbeye, nilisikitika sana jinsi wasomi wa kibongo, profesa Sam Maghimbi, Dr Lwaitama, Dr Mesack? na yule mbunge wa kuteuliwa Al Shaimaa John Kwegyir (ana shahada mbili?) jinsi walivyokuwa wanajadili suala la mauaji ya albino.
Kwa kweli binafsi sikuona hoja madhubuti zilizokuwa zinatolewa na wasomi hao, ilikuwa ni kama unasikiliza watu wa wasio na elimu kubwa watu wa mitaani. Kuna yule Dr. Mesack kwanza alivyovaa tu uitachoka, utadhani ni afisa kilimo mstaafu amekuja Dar toka kijijini Nyikupiti kufuatilia pensheni yake. Hoja zake ni za hali ya chini sana kulinganisha na elimu yake. Kwa kweli aliniboa sana. Hivi wasomi wetu hawaangalii vipindi kama hivyo kwenye luninga kama CNN, SABC, BBC AL Jazeera n, waone jinsi wasomi wa viwango vyao wanavyokata issues. Usomi sio vyeti na titles tu bali pia ni uwezo wa kueleza, kutetea na kushawishi kwa watu wengine kile unachokijua.
Kama unajijua huwezi kuongea(labda unaweza kuandika zaidi) ni bora usishiriki kwenye hizo talkshows kuliko kutuaibisha hivyo maana jana nilikuwa na rafiki yangu toka Ghana akasema panelists wako shallow sana.... nikasema hapana ni kwasababu issue yenyewe ya mauaji ya albino ni ngeni na inafanywa kwa siri sana ndio maana hawana takwimu na hoja nzito- lakini moyoni nikajisemea ndio yale yale......
Waliongea nini ambacho uliona ni pumba?
I havent seen that programme, ila hiyo link hapo na comment ya Mhe. Al Shaimaa kwenye video imeniacha hoi. Of all people, she says she is satisfied. My foot!!
Jana nilikuwa naangalia kipindi cha TBC sijui kinaitwa ....This week perspective cha mzee Simbeye, nilisikitika sana jinsi wasomi wa kibongo, profesa Sam Maghimbi, Dr Lwaitama, Dr Mesack? na yule mbunge wa kuteuliwa Al Shaimaa John Kwegyir (ana shahada mbili?) jinsi walivyokuwa wanajadili suala la mauaji ya albino.
Kwa kweli binafsi sikuona hoja madhubuti zilizokuwa zinatolewa na wasomi hao, ilikuwa ni kama unasikiliza watu wa wasio na elimu kubwa watu wa mitaani. Kuna yule Dr. Mesack kwanza alivyovaa tu uitachoka, utadhani ni afisa kilimo mstaafu amekuja Dar toka kijijini Nyikupiti kufuatilia pensheni yake. Hoja zake ni za hali ya chini sana kulinganisha na elimu yake. Kwa kweli aliniboa sana. Hivi wasomi wetu hawaangalii vipindi kama hivyo kwenye luninga kama CNN, SABC, BBC AL Jazeera n, waone jinsi wasomi wa viwango vyao wanavyokata issues. Usomi sio vyeti na titles tu bali pia ni uwezo wa kueleza, kutetea na kushawishi kwa watu wengine kile unachokijua.
Kama unajijua huwezi kuongea(labda unaweza kuandika zaidi) ni bora usishiriki kwenye hizo talkshows kuliko kutuaibisha hivyo maana jana nilikuwa na rafiki yangu toka Ghana akasema panelists wako shallow sana.... nikasema hapana ni kwasababu issue yenyewe ya mauaji ya albino ni ngeni na inafanywa kwa siri sana ndio maana hawana takwimu na hoja nzito- lakini moyoni nikajisemea ndio yale yale......
I havent seen that programme, ila hiyo link hapo na comment ya Mhe. Al Shaimaa kwenye video imeniacha hoi. Of all people, she says she is satisfied. My foot!!