DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
..rev,
..mpangilio mzuri kabisa wa maoni.
..sasa,ili iwe marshall plan inahitaji projections za mapato na matumizi. pia inahitaji time frame ya utekelezaji na kubainisha wasimamizi,watendaji,wadau,n.k wakuu.
..nadhani wapo wataalamu au na wasomi wa kutosha humu watakao iboresha kadri itakavyowezekana, bit by bit mpaka iive!
nb:tanzania ina viongozi wachache sana, wengi ni wahuni,wezi,wababaishaji na wabinafsi.
..invisible,
..nadhani inawezekana kutengeneza namna ya ku-edit hii "marshall plan". ila kabla haijafanyiwa masahihisho kamili lazima ipitiwe na jopo na kukubalika. halafu,tunaendelea na kazi......
..nitatoa maoni zaidi baada ya kupata muono wako kwenye hili.
..rev,
..kwa ruhusa yako, nawasilisha mawazo yangu.