Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,834
- 19,707
Me zaidi ya fundi!!!Sasa kama hujui kusoma u fundi25 uliupata wapi!??? Au umeghushi cheti!??? Wenzako akina fundi bishoo & Fundi Kitale & fundi koroboi & fundi kubomoa & Fundi Madirisha & Fundi Mchundo & fundi msati wanajua wako weupe ndiyo maana wamejituliza ujue!???
Kwa sababu ni picha za sayari nyingine ambayo haujawahi kuwepo kabla. You see, mazingira ni mapya kwako.Mbona kama ma picha picha ya kusadikika!
Ngoja nikupe kazi bibie, naomba uzihakiki kwanza hizo picha kisha tujadili.Jurjani upite huku.
Au ni za kutengeneza hizi?
Nimezihakiki, twende tujadili.Ngoja nikupe kazi bibie, naomba uzihakiki kwanza hizo picha kisha tujadili.
Safi, umejuaje kama hapo ni NASA ?Nimezihakiki, twende tujadili.
Umekusudia kuandika NASA au Mars?Safi, umejuaje kama hapo ni NASA ?
Naam nimekusudia MARS.Umekusudia kuandika NASA au Mars?
I am 100% sure you won't be convinced by any facts nitakazo kupa. Sababu ni zile zile ambazo zipo wazi, kurahisisha ni wewe useme kwanini hapo sio Mars.