Married Life is Not better than single life. It is actually the total opposite.

Vipi kuhusu dhambi ya uasherati na kuzini ?
Je Mtu akiamua kutokuoa Au kutokuolewa atakuwa Mwaminifu kabisa bila kumkosea Mungu ktk kuzini /uasharati?
Wengi wanaopinga dhana ya ndoa kuwa ni kuuza uhuru hasa ni haohao wazinzi na waasherati na wapenda anasa tu maana hawawezi ishi bila hayo mambo. Ama wanateseka kukaa katika principle mpya za kimaisha.

Mbona kuna vijana wametulia zao freshi tu. Hawana mambo mengi and they understand kwamba ndoa inataka utayari na utulivu kitabia ili iende sawa. Shida ni hio sasa kukutana wote mna similar thinking and attitude juu ya ndoa.

Lazma muwe kama socket na plug za kuendana. Ikitokea mmoja anajitia ujuaji sana basi ndoa lazima iwe chungu. Amani ya ndoa huletwa na wana ndoa wenyewe. Wengi wetu hatutaki kuwa responsible na ndoa zetu sikuhizi.
 
Ndoa ni tamu when you meet your soul mate. Hii ni nadra sana kutokea. A person who understands and fulfill you in every way.

Mara nyingi watu hawa kufa kwa kufuatana mmoja hawezi kuishi bila mwingine.
Soulmate ni ishu kumpata, but atleast someone who is understanding makes a great man or wife. As long as anaonesha upendo na ku reciprocate upendo na uaminifu kwako thats a good to be wife or husband.
 
Kaa siku ujiulize ni kwa nini watu wenye akili nyingi kuwahi kutokea duniani hawakuwahi kuwa na wake wala familia.
Tunaoa tu kama utamaduni ambao umejengeka katika fikra zetu ndo maana mtu akiwa na umri mkubwa alafu hana mke watu wanamshangaa,but in reality ndoa ni mateso makubwa sana kama ni furaha basi katika ndoa 100 couple 1 ndio inayopata furaha
Mi naona its not proper kukaa bila mke,licha ya tamaduni tu. You need someone to take care of you ambaye atakuzalia na watoto to distribute your genes. Kama wanyama tu wanaweza kufanya hilo its too odd kwa binadamu mwenye utashi.

Dhana ya furaha au kutokuwa na furaha katika ndoa inategemeana na choice ya mwenza na deep understanding ya uwiano kati ya utu na pesa. Kama umekurupuka tu kuoa ukaokota kulubembe lako basi tegemea majuto. Huwa nawashangaa sana wale wanaodiss mapenzi ya sogea tuishi yale. Its the best in style kama unataka mjua mwanamke nje ndani kaa nae tu kwa muda.

Sasa wewe demu anakuigizia kila akija akiondoka ni malaya wa kutupwa na kiburi kama chote unajichanganya unaoa lazma ujute.
 
Kaa siku ujiulize ni kwa nini watu wenye akili nyingi kuwahi kutokea duniani hawakuwahi kuwa na wake wala familia.
Tunaoa tu kama utamaduni ambao umejengeka katika fikra zetu ndo maana mtu akiwa na umri mkubwa alafu hana mke watu wanamshangaa,but in reality ndoa ni mateso makubwa sana kama ni furaha basi katika ndoa 100 couple 1 ndio inayopata furaha
Indeed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa ni tamu when you meet your soul mate. Hii ni nadra sana kutokea. A person who understands and fulfill you in every way.

Mara nyingi watu hawa kufa kwa kufuatana mmoja hawezi kuishi bila mwingine.

Sure
 
Mi naona its not proper kukaa bila mke,licha ya tamaduni tu. You need someone to take care of you ambaye atakuzalia na watoto to distribute your genes. Kama wanyama tu wanaweza kufanya hilo its too odd kwa binadamu mwenye utashi.

Dhana ya furaha au kutokuwa na furaha katika ndoa inategemeana na choice ya mwenza na deep understanding ya uwiano kati ya utu na pesa. Kama umekurupuka tu kuoa ukaokota kulubembe lako basi tegemea majuto. Huwa nawashangaa sana wale wanaodiss mapenzi ya sogea tuishi yale. Its the best in style kama unataka mjua mwanamke nje ndani kaa nae tu kwa muda.

Sasa wewe demu anakuigizia kila akija akiondoka ni malaya wa kutupwa na kiburi kama chote unajichanganya unaoa lazma ujute.

Hapo sijakuelewa,
Kwamba wakati mwingine ni vizuri kuishi kwanza na mwanamke kinyumba kabla ya kumuoa ndoa au siyo?
 
Haswaa, ndio kitu nilimaanisha mkuu. Hii inasaidia sana

Lakini hata hiyo pia nazani itategemea pia kwa kuwa hata hapo Mwanamke anaweza aka pretend kuwa mke mwema akitarajia umuoe kabisa maana anajua akiharibu pengine mwanaume unaweza kugairi kufunga nae ndoa.
Halafu akishafunga ndoa ndiyo ataanza kuonesha makucha yake yote!

Tena wengi ukishamuweka ndani kumtoa humo ndani usizani itakuwa rahisi atang’ang’ania hata afanyiwe vitumbi!

Halafu binti aliyelelewa kimaadili pia siyo rahisi kukubali kwenda kuishi kwa mwanaume kienyeji hivyo, yani nafsi itakuwa ikimuhukumu !

Labda kwa mwanamke ambaye ameshajichanganya vya kutosha kiasi kwamba hata wazazi wanaona aaah wacha aende tu huko kwa huyo mwanaume akaishi.
 
Lakini hata hiyo pia nazani itategemea pia kwa kuwa hata hapo Mwanamke anaweza aka pretend kuwa mke mwema akitarajia umuoe kabisa maana anajua akiharibu pengine mwanaume unaweza kugairi kufunga nae ndoa.
Halafu akishafunga ndoa ndiyo ataanza kuonesha makucha yake yote!

Tena wengi ukishamuweka ndani kumtoa humo ndani usizani itakuwa rahisi atang’ang’ania hata afanyiwe vitumbi!

Halafu binti aliyelelewa kimaadili pia siyo rahisi kukubali kwenda kuishi kwa mwanaume kienyeji hivyo, yani nafsi itakuwa ikimuhukumu !

Labda kwa mwanamke ambaye ameshajichanganya vya kutosha kiasi kwamba hata wazazi wanaona aaah wacha aende tu huko kwa huyo mwanaume akaishi.
Wako wanawake waliolelewa vyema tu na wako poa tu katika hio system. Chukulia mfano mtoto wa kike akipata kazi mji wa mbali na home anaweza kupata dume huko aliko akavutiwa nalo mpaka kuridhia kuishi nalo pamoja. Hilo ndilo hasa linatokea in most occassions, binti anakuwa ameridhia hata wazazi wake wakiwa hawajui.
Huu mchezo hata vyuoni upo sana.

Trust me mwanamke wa kukaa nae under the same roof kama mshenzi utamjua tu. Hajui kupika utajua tu. Hapendi sex utajua tu. Ni mvivu utajua tu. Sio muelewa utajua tu.Mwanamke ana asili ya uchafu utajua tu.

Yani there are numerous things utazigundua ndani ya mda unaolala na kuamka nae under the same roof in a few months. Haya ni ngumu kuyajua kwa mwanamke anaekuja kulala kwako weekend. Atajikaza in few hours akuektie tu kuwa ni mke kweli kumbe hamna kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom