Ujumbe mzuri, lakini wengi walidhani/walidai hawawezi kuishi bila wapenzi wao lakini waliweza/wanaweza! Nadhani hakuna formula kwenye suala la ndoa na mapenzi kwa ujumla.
Ujumbe mzuri, lakini wengi walidhani/walidai hawawezi kuishi bila wapenzi wao lakini waliweza/wanaweza! Nadhani hakuna formula kwenye suala la ndoa na mapenzi kwa ujumla.
Ni kweli kabisa hakuna formula maana unaweza kukuta manyanyaso/visa anayoyavumilia/anavyovivumilia mwanamke/mwanaume kwenye ndoa moja hayakubaliki/havikubaliki kabisa kwenye ndoa nyingine.
ni kweli ndoa ni kamari aina fomula kabisa utampenda mke yy atakupuuza mwingine atamchukia mke mke atampenda mume yani akuna fomula kabisa wala usione kwa jirani upaste ufikiri itafanya kazi kwako mh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.