Marriage Annulled After Separated Twins Marry !!

Steve Dii

JF-Expert Member
Jun 25, 2007
6,402
1,254
Wanawane, Hii mbona noma!!

Twins separated at birth have married each other without realizing they were brother and sister, it has been revealed.

The British couple's marriage has now been annulled by the High Court after judges ruled the marriage had never validly existed.

The identities of the brother and sister and details of how they fell in love and married are being kept secret. Soon after they were born they were separated and adopted by different families.

Neither was told they had a twin and had no idea they were blood relatives until after their wedding.

Professor Lord Alton uncovered the case when a High Court judge told him of a hearing he had dealt with.

Source: Foxnews.com

SteveD.
 
Mwanangu hiyo kali,Steve D hivi vimbwanga unapata wapi? nadhani hapo ndipo tunapoona umuhimu wa traditional african marriages zinaposisitiza watu wafahamiane kwanza kabla ya kuamua kufunga ndoa. Maana ni kwa njia hiyo,suala hilo lingeweza julikana mapemaa kwa kutrace kila mmoja origin yake,na kwa nini aliasiliwa(adopted) na nani walikuwa wazazi wake.
 
Twins separated at birth have married each other without realizing they were brother and sister, it has been revealed.

The British couple's marriage has now been annulled by the High Court after judges ruled the marriage had never validly existed.

The identities of the brother and sister and details of how they fell in love and married are being kept secret. Soon after they were born they were separated and adopted by different families.

Neither was told they had a twin and had no idea they were blood relatives until after their wedding.

Professor Lord Alton uncovered the case when a High Court judge told him of a hearing he had dealt with.

Steve, ukiiangalia kwa mtizamo mwingine inatufundisha tabia za twins: hawa walikuwa wameungana, kutenganishwa kwao kutakuwa kulisababisha pengo kwa kila mmoja wao, nadhani kwa vile hawakujua kuwa ni pacha, punde kila mmoja wao alipomwona mwenzake ile nafasi iliyokuwa empty ndani yao ikajaa; nao bila jujua tafsiri ya reaction yao wakafikiri ni upendo wa m/me na m/mke, kumbe ni ule muungano wao wa asili uliclick.
Na hili sio tatizo lao peke yao maana ndoa nyingi duniani zikifanyiwa research tutagundua kuwa hakuna ndoa, simply because of misinterpretation ya feelings za watu wanajikuta wameingia kwenye ndoa ambayo baadae inakuwa sio ndoa
 
Steve, ukiiangalia kwa mtizamo mwingine inatufundisha tabia za twins: hawa walikuwa wameungana, kutenganishwa kwao kutakuwa kulisababisha pengo kwa kila mmoja wao, nadhani kwa vile hawakujua kuwa ni pacha, punde kila mmoja wao alipomwona mwenzake ile nafasi iliyokuwa empty ndani yao ikajaa; nao bila jujua tafsiri ya reaction yao wakafikiri ni upendo wa m/me na m/mke, kumbe ni ule muungano wao wa asili uliclick.
Na hili sio tatizo lao peke yao maana ndoa nyingi duniani zikifanyiwa research tutagundua kuwa hakuna ndoa, simply because of misinterpretation ya feelings za watu wanajikuta wameingia kwenye ndoa ambayo baadae inakuwa sio ndoa

Mwendapole, duuh hiyo mbona iko deep sana.... ahsante mkuu, surely you qualify for 'dr. love'!! lol

Mwanangu hiyo kali,Steve D hivi vimbwanga unapata wapi? nadhani hapo ndipo tunapoona umuhimu wa traditional african marriages zinaposisitiza watu wafahamiane kwanza kabla ya kuamua kufunga ndoa. Maana ni kwa njia hiyo,suala hilo lingeweza julikana mapemaa kwa kutrace kila mmoja origin yake,na kwa nini aliasiliwa(adopted) na nani walikuwa wazazi wake.

Augustoons, kweli kabisa mwanawane... kinamna na kwa asilimia kubwa tu nakuunga mkono kuhusu 'traditional african marriages', lakini nazo ndiyo hivyo tena saa nyingine zina madhara yake....kuna habari za traditional marriages kuhusisha watu so close kwa ajili ya ku-maintain utajiri ndani ya ukoo tu, na matokeo yake ni kuwa sometimes, offcourse rarely, some recessive genes zenye madhara zinajirudia na kuharibu offsprings husika katika muungano huo, ambao kama ni mtaalam wa genealogy unaweza kuuita batili. Lakini katika mila zetu usingeonekana ambacho kingeonekana ni utajiri!!

Kuna habari nyingi kuhusiana na haya kule kwa wenzetu India kutokana na mambo ya arranged marriages. Natumaini ulishasikia.


SteveD.
 
Jana nimesoma mahali kuhusu mapacha waliozaliwa huko Asia miaka ya 1800 wakiwa wameungana kifuani; wote walikuwa wanaume. Kilichoniacha hoi ni kwamba wazazi! wao waliwatumia kwenye sarakasi kiasi wakapata fedha zilizowawezesha kuretire North America wakiwa wakulima wakubwa; not only that; hawa jamaa walioa, and kwa pamoja walizaa zaidi ya watoto 14...upo hapo? wake zao walishindwa kuishi pamoja kwa hiyo jamaa wakawa wanaishi na mke mmoja kwa wiki kwa kupokezana...
 
Ujerumani wako mapacha wengine nao walitenganishwa mara tu baada ya kuzaliwa wao hawajalazimishwa kuachana na bado wapo pamoja kama mke na mume na wana watoto wanne kama sikose.
 
Jana nimesoma mahali kuhusu mapacha waliozaliwa huko Asia miaka ya 1800 wakiwa wameungana kifuani; wote walikuwa wanaume. Kilichoniacha hoi ni kwamba wazazi! wao waliwatumia kwenye sarakasi kiasi wakapata fedha zilizowawezesha kuretire North America wakiwa wakulima wakubwa; not only that; hawa jamaa walioa, and kwa pamoja walizaa zaidi ya watoto 14...upo hapo? wake zao walishindwa kuishi pamoja kwa hiyo jamaa wakawa wanaishi na mke mmoja kwa wiki kwa kupokezana...
Hii kali mwanawane
 
Kha Duniani Kuna Mambo Ya Ajabu, Lakini Kama Njiwa Ambao Hutotolewa Wawili Tu Na Kukua Pamoja Na Kisha Kuendeleza Uzao Huenda Ikawa Haina Madhara Kwao...but This Is Not An African Ethical Thing That Exists
 
Back
Top Bottom