tukisema watawala wetu ni vichwa maji wanasema tunawatukana na kuhatarisha amani ya nchi,hivi hili tamko la waziri marmo lina mwelekeo upi haswa?anasema nec ni taasisi huru na hawezi kusemea juu ya wanavyuo ambao hawataweza kupiga kura tokana na vyuo kufungwa,kwanza anasema:
- serikali haijamzuia mwanachuo kwenda kupiga kura kwenye kituo alichojiandikisha,akisahau hao wanavyuo wanaishi kwa boom toka serikalini na si waajiriwa
- nec ndio yenye jukumu la kuwarudisha hao wanafunzi,hivi kuna uhusiano gani wa nec na wanavyuo?kwanini serikali inakimbia kivuli chake?hao wanafunzi wanawekewa pesa za kujikimu na nec?