johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,816
- 141,716
- Thread starter
- #81
Dar mvua ya nini?Kichekesho Mwandosya anamwambia Magufuli kafika na baraka ya mvua, huku Magufuli alikuwa Dar muda wote hakuna mvua! Kwa sifa hiyo usishangae kesho akamtea kwa cheo chochote Mwandosya atakachotaka.
Rungwe wanahitaji mvua ndio maana imekuwa ni baraka, Dsm mvua unataka mafuriko mabondeni?!!!