LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
ACHA UONGO .mnaharibu sana magari ya watu na jee unafaham kazi ya thermoster kwenye gari?? na unafaham madhara yanayoweza letwa na kutolewa kwake?? gari za kisasa hazitaki magumashi mkuu wala ujanja ujanja kuna gari nyingine ukitoa tuu thermoster bumeiloga gia haibadili ipasavyo na ulaji wa mafuta huwa unaongezeka sanaaaBadilisha Thermostat au ua system yake. Hiyo inatumika nchi za baridi sana. Itakusumbua sana. Ina engine ya Vvti/1G?