MshikjiFlaniHivii
Senior Member
- Feb 12, 2020
- 118
- 338
Ndugu zangu, nataka nitumie mark 2 grands kama bolt... Nimeshawah kutana na mtu anatumia brevis bolt, nimeomba ushaur kwa wengine wanasita, wanasema itani cost.. Kwa sasa sina gari ingine ndo hii. Na ni ya bure sipeleki hesabu ni mim na service... Naomba ushauri.