Marioo unatakiwa Ubadilike sasa sio kila siku nyimbo hizo hizo za kulalamika?

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
May 3, 2020
2,416
3,908
Wakatia Anaanza alikuwa vizuri, lakini naona sasa toka atoe aya naona ndo vile vile nyimbo zinazofata ni kulalamika kama kwenye Aya, Marioo badilika tunataka sasa utoke nje ya East Africa Nenda Nigeria, Congo,

Kuimba una kipaji ila inabidi ujitahidi kuangalia hayo maeneo, pia nyimbo za mapenzi muda wote zinachosha toa vibao tofauti tofauti ili watu tufurahie kazi zako! Kuwa kama diamond Unaona Yeye kila sehemu yupo taarabu,Afro pop,Rnb, Bongo fleva
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom