bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Mi naona kuna agenda ya TBC kumpigia debe CCM, leo tena wakati nacheki TBC mtangazaji Danieli Kijo karudia yaleyale ya marine! Walikua wanasoma vichwa vya habari vya magazeti kuna habari ya Dr Slaa kuchukua form sasa yeye baada ya kusoma akawauliza wale washiriki wa kipindi chake wao wanaonaje Slaa kupoteza ubunge maana hatapata urais! Watu wote wakawa na mawazo ka yake yaani bora abaki kwenye ubunge! Ivi hawa watangazaji wanajua maana ya chombo cha umma?
hommie TBC ni chombo cha 'umma'? shauiri yako weeee??