N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
Kuwashinda hawa jamaa ni kupiga kampeni kimya kimya, wasijue strategy yenu. Kama kukimbiza mwizi kimya kimya tu. Ukiwaonyesha nguvu yako ilipolalia unaliwa huku wajiona waulize CUF, kila ukikaribia uchaguzi majeshi yanajazwa visiwani na kura zinapigiwa makambini na si unajua kura huhesabiwa kituoni hapo hapo sasa askari atapigia CUF? hawa kujipanga maana wote hatuwezi kuwa kama Tarime na Karatu