Kuchapisha kura fake na kutamba nazo mitaani tena kwenye vituo vya kupigia kura tena kwenye siku ya kupiga kura ni very serious crime,ni kosa la jinai ambalo ni serious sana!Mliitengeneza "MOVIE" ya kura feki nchi nzima.....nani asiyejua?!!!
Mliuratibu mtandao koko nchi nzima.....nani asiyejua?!!!
Una matatizo ya KISAIKOLOJIA wewe......
Mitifuano akaongee wana ccm wenzake huko ndani vikao akiongea taifa aongee yahusuyo maendeleo sio vijembe.....kuna suala kujenga madarasa na madawati nchi nzima nchi imefunguka.....196bilKutakuwa na mtifuano ccm.
Ukiwaona!Dito
Bila siasa safi ukipambana na hali yako hutoweza kufua dafu:Ndio nchi yetu ilipofikia hapa, cha msingi ni kila mtu akomae apambane na hali yake asife njaa maana hamna wa kumtegemea
Itakuwa saa ngapi?Tangazo limeshatoka ITV
Au mbowe anapewa unaibu waziri nini?Kwani Biashara Ya Kununua Wabunge Bado Ipo
Huenda Hicho Wanachosisitiza Labda, Membe,Cheyo, Lipumba, Na Wengine Wanarudi Ccm !!
Kila Mtu Anasisitiza Tegeni Sikio, Tutasikiliza Tokea Wapi
Au lisu anakua waziri wa katiba labda..!!!Sina hakika kama Mama atakuwa na jipya la maana!
Rais sio hakimu wala judge, hana mamlaka hayo, labda sheria zibadilike,Aongee jambo lolote lile, lakini ikikosekana kauli ya kumwachia huru Freeman Mbowe basi hataweza kuzikonga roho za wapenda mabadiliko walioukuwa wengi. Pengine amekwisha kutambua ukweli uliopo nyuma ya kesi ile ya ugaidi wa laki sita.
Kupandishwa ghafla cheo kwa jaji anayelisikiiliza shauri hilo la kisheria inaweza kuwa kiashiria kimojawapo. Lakini nchi wahisani, ambazo kupitia balozi zao walidhihirisha wazi kuwa na shahuku juu ya shauri hili, baadhi yao tayari zimeanza kumimina misaada iliyokuwa imekoma katika kipindi cha utawala wa JPM.
Madam President SSH do it now before it becomes too late. Siro na Diwani tupa kule kwa kuwa walikushauri na kukuaminisha vibaya katika suala hili.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Unasahau baada ya diwani kuingia, tatizo la watu kwenye sandalusi likaisha?, muwage na kumbukumbu basiAongee jambo lolote lile, lakini ikikosekana kauli ya kumwachia huru Freeman Mbowe basi hataweza kuzikonga roho za wapenda mabadiliko walioukuwa wengi. Pengine amekwisha kutambua ukweli uliopo nyuma ya kesi ile ya ugaidi wa laki sita.
Kupandishwa ghafla cheo kwa jaji anayelisikiiliza shauri hilo la kisheria inaweza kuwa kiashiria kimojawapo. Lakini nchi wahisani, ambazo kupitia balozi zao walidhihirisha wazi kuwa na shahuku juu ya shauri hili, baadhi yao tayari zimeanza kumimina misaada iliyokuwa imekoma katika kipindi cha utawala wa JPM.
Madam President SSH do it now before it becomes too late. Siro na Diwani tupa kule kwa kuwa walikushauri na kukuaminisha vibaya katika suala hili.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Mamlaka ya kutoa ushahidi kwenye media ipo kwenye sheria ipi?Rais sio hakimu wala judge, hana mamlaka hayo, labda sheria zibadilike,
MkaguruuAmpige chini Majalala.
Hv kwa tume hii bado mnatumia kodi zetu kuandaa uchaguzi kwa nn msingemutangaz mshindi huyo wa kijan tukoe kodi zetu zikafanya mambo mengineTEGENI SIKIO JUMAPILI RAIS SAMIA ANA JAMBO ZITO SANA-MBUNGE DITOPILE
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile leo amejumuika na wanaCCM wenzake katika Kata ya Bulungwa kumuombea kura Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Ushetu Mkoani Shinyanga, Emmanuel Cherehani huku akiwataka watanzania kutega sikio siku ya Jumapili kumsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan.
Akizungumza na wananchi wa Kata hiyo, Ditopile amesema Cherehani ambaye alipitishwa na Chama Cha Mapinduzi kuwa mgombea Ubunge wa Ushetu anatosha na ana sifa zote za kuwa muakilishi wao bungeni.
"Jumapili Mama Samia ana jambo Kubwa na Zito kweli kweli nawaomba wana Ushetu na watanzania kwa ujumla Nchi nzima Mtege Sikio, Mama huyu yupo kazini anahangaika na shida za watanzania, tukae kwenye redio, na TV tumskilize, na tukitoka tukawasimulie wengine.
Tunaye Rais mahiri na shupavu na nyie mmeona anafaa mmempa Uchifu leo kwenye historia ya nchi yetu pamoja na kwamba tuna Rais wa kwanza mwanamke tuna Chifu Mwanamke Chifu Hangaya Samia Nyota inayong’aa "
Mbunge Mariam Ditopile, Ufungaji Kampeni Jimbo la Ushetu,
Nawaomba wana Ushetu watuletee Cherehani kule bungeni nimelelewa na wasukuma najua ukarimu wenu, nitashirikiana naye kule Bungeni hatokuwa mgeni atawapambania kuwaletea maendeleo"
Amesema Ditopile Akimuombea Kura Mgombea Ubunge Kwa Tiketi Ya Ccm Jimbo la Ushetu Leo.
Jimbo la Ushetu limeingia kwenye Uchaguzi mdogo kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo hilo na aliyekua Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias Kuandikwa.View attachment 1968598View attachment 1968599View attachment 1968600
Hiyo ndiyo tabia ya jambazi mkuu usiwashangaeHv kwa tume hii bado mnatumia kodi zetu kuandaa uchaguzi kwa nn msingemutangaz mshindi huyo wa kijan tukoe kodi zetu zikafanya mambo mengine
Vijana tunataka kusikia habari ya ajira. Kama ni blaah blaah za chato kuwa mkoa heri akae kimya tu!Jumapili chato inatangazwa mkoa mpya...ni maoni yangu tu
Mkuu Elungata utendaji mzuri wa mtu hauangaliwi kupitia kitu kimoja tu, bali kwa kujali miiko ya kazi zake, weledi unaothibika, maadili mema awapo kazini, kutoa ushauri mzuri na awe na hofu kwa Mola wake.Unasahau baada ya diwani kuingia, tatizo la watu kwenye sandalusi likaisha?, muwage na kumbukumbu basi
Siyo awala yako?Unamdhalilisha mamako ulivyo kosa heshima na aibu
Mama yako wewe hawezi kuwa hawala yanguSiyo awala yako?
Awala....Hawala.Siyo awala yako?