Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,280
'
Hoja mojawapo ya CCM ni kwamba eti ili kubadili Katiba lazima Bunge ihusike na kama tunavyojua Bunge hili ni kijani na la Mwendazake - sasa tusubiri hadi after 2025 - aweke mambo sawa Yaani ni hivi Rais ana mamlaka ya kutosha! Bunge maalum siyo lazima iwe Bunge lenyewe!"- Maria Sarungi
Hoja mojawapo ya CCM ni kwamba eti ili kubadili Katiba lazima Bunge ihusike na kama tunavyojua Bunge hili ni kijani na la Mwendazake - sasa tusubiri hadi after 2025 - aweke mambo sawa Yaani ni hivi Rais ana mamlaka ya kutosha! Bunge maalum siyo lazima iwe Bunge lenyewe!"- Maria Sarungi