Maria Sarungi: Mkopo wa WB wa elimu una masharti ya mtoto lazima arudi shule baada ya kujifungua, si Ombi ni lazima. Serikali kwanini inaficha ukweli?

Maria Sarungi ungekuwa kweli ni mtu mwenye machungu na wanafunzi wanaopata mimba, na kwa mujibu wa maelezo yako hawaruhusiwi tena kurudi shule, kama ungetumia umaarufu wako kuwatumia hao NGOs wako waka Supply Tablett kwa kila mwanafunzi na ku organize walimu wanao toa masomo kwa wanafunzi ambao hivi sasa wamekuwa baracked kwenye nyumba zao bila kujua nini cha kufanya badala ya kupoteza nguvu nyingi kupinga kila kitu ambacho serikali inafanya na kufurahia kushindwa kwa kila juhudi ambazo viongozi wetu wanazifanya ili kuleta maendeleo ya watanzania.

Zaidi ya hayo Maria Sarungi Tanzania haiwezi ikawa na hali ya maisha kama Amerika. Tanzania kielimu na kifikra bado tuko myuma sana. Tukiiga kila kitu kutoka Amerika nchi yetu itakuwa a Banana Republic. Hii nchi haita tawalika na hakuna mtu atajiona ana wajibu wa kufanya vitu muhimu vya maisha ya binadam. Kama watu wetu hivi sasa treni ya umeme ya SGR wanaishangaa unaweza kweli watu wa namna hiyo kuwapa Uhuru ambao uko Amerika kweli?

Angalia mwenyewe hali ilivyo Kenya, pamoja na kuwa wana katiba ambayo wewe na wanaharakati wenzako mnaiona kuwa ni bora, lakini hata hivyo maisha ya wananchi wao yanazidi kuwa the west na hakuna kiongozi ambaye yuko madarakani anaye feel kuwa ni responsible kwa uboreshaji wa maisha ya watu wake. Na hata uchumi wao haupandi kama wetu japo kuwa wazungu wanaisaidia kwa kila hali na mali katika kujaribu kuwa promote wakenya.

Anagalia mwenye mambo Tanzania yalivyo na Kenya. Hivyo wewe huoni faraja sisi tunavyo jaribu kuinua uchumi wetu kwa maarifa na nguvu zetu wenyewe? Sisi tuna barabara nyingi nzuri za kwenda mikoani, tutakuwa na SGR ya kisasa yetu wenyewe na kuwa na energy ya kutosheleza tana ya bei rahisi. Wewe unatakannini hasa?

Sielewi kama wewe unawatembelea ndugu zako amabo wako vijijini. Mimi kwa mfano naishukuru serikali yetu kuwa imewawezesha ndugu zangu wanao ishi vijijini kuwa na maji, umeme, huduma nzuri za matibabu na hata telecommunication. Je, unajua hali ya vijiji vingi ilivyo kwenye nchi nyingi za kiafrika?

Usiwe mbinafsi sister wetu. Ubinafsi wako hautawasidia kitu watanzania. Wewe unaelimu kubwa na umeona mengi duniani, kwa nini sasa hutumii elimu, busara na maarifa yako kuwasaidia watanzania nao waje kuwa na upeo kama wako? Hapo ndipo unaweza ukaja na maadai yako ya kuwa na katiba kama ya waamerika na maisha ya watanzania kuwa kama ya wa Amerika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwongozo wa Wizara ya Elimu, hivi ndivyo unavyosema:-

KIFUNGU CHA 2.0 kinasema:-
Kumbe Mwongo umetowa majukumu kwa washika dau wote, na hapa nataja wadau wakuu wawili:-

KIFUNGU CHA 2.3- Mwongozo kwa Wazazi/ Walazi
View attachment 1407400

KIFUNGU CHA 2.6 ni Mwongozo kwa serikali:
-
View attachment 1407408

Haya, weka hapa hiyo sheria unayosema "Sheria ya Elimu inatamka wazi kuwa binti kuwa na ujauzito ANAFUKUZWA shule."

Angalizo ni kwamba, huo mwongozo hapo juu ni wa April, 2009... kwahiyo tuwekee hapa sheria iliyokuja baada ya huo mwongozo!!
Au hujui kuwa Tamko la Rais ni kubwa kuliko kamwongozo hako? Hebu fungua macho!
 
Au hujui kuwa Tamko la Rais ni kubwa kuliko kamwongozo hako? Hebu fungua macho!
Alikudanganya nani?! Wewe unadhani kila anachoongea rais ndo basi tena kinageuka kuwa sheria hata kama kinapingana na sheria zilizopo?!
 
Alikudanganya nani?! Wewe unadhani kila anachoongea rais ndo basi tena kinageuka kuwa sheria hata kama kinapingana na sheria zilizopo?!
Kwa sasa ndivyo Mkuu. Kwani tokea atamke kuna mwanafunzi aliyezaa halafu akarudi shule? Hebu lete ushahidi!
 
Kuna watoto wanaobakwa je wamekosea nini mpaka wafukuzwe Shule?
Kama kubakwa ni sababu, basi wanafunzi karibu wote wanaobikiriwa wakiwa katika teenager age wanabakwa. Mwanafunzi anayebakwa anawajibu wa kwenda kufungua mashtaka dhidi ya mtu aliyembka wakati mbegu za za kiume za mbakaji zikiwa bado ziko kwenye mwili wake.

Sio wakati wa kitendo cha ndoa kufurahia, lakini janga la mimba likitokea kudai kuwa umebakwa, haiendi. Kama mambo yangekuwa rahisi namnanhiyo basi mbona tungekuwa na mtazamo mwingine kimaisha?

Kwenye nchi za wenzetu watoto kila wakati wanapelekwa kufanyiwa check ya maumbile. Ikitokea dosari kidogo tu ya kuharibika kwa virginity mtoto atamtaja tu nani anahusika.
Wanaume wanashtakiwa wakiwabaka wake zao, sembuse malkia wa mungu wasio jua kujitetea kama watoto wadogo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna eneo moja tumewekaza kwa mafanikio makubwa ni katika propaganda ya kuuhami uongozi. Idadi ya watu walioko mitandaoni kwa kazi hii inatisha. Kwa hakika watu hawa hawafanyi hivyo kwa mapenzi yao tu bali wapo kazini. Hivyo ndivyo kodi yetu inavyotumika!
 
Return Of Undertaker,

Mwaka 2014 nilimsapoti sana Maria na kuna wakati niliweka thread hapa kumhamaishea agombee urais mwaka 2015 ila watu wengi walinishangaa sana kwa maoni yale.

Kumbe kweli Maria huyu ni bomu kabisa. Sehemu kubwa sana ya busara ni uwezo wa kuzungumza mambo sahihi kwa wakati wake. Hana
kosa la Maria kusema tumepewa masharti?
 
What happens if you get pregnant at 14?

In many states, if you are 14 and pregnant, you will need parental permission to obtain an abortion. This is because you are still a minor, and your parents have the responsibility to determine what kind of medical care you receive.

Why should we keep pregnant learners at our school?
The Constitutional Court has ruled that it is a violation of pregnant girls' rights to equality, basic education, human dignity and privacy to prevent them attending classes. To force pregnant learners out of school is discrimination based on gender.Oct


When should you stop going to school when pregnant?
In addition, failing to send a child to school can be considered neglect." Other states have similar laws, so it seems clear that students must continue to attend school until the age of 16, pregnant or not.Feb 10, 2020
 
Maria amekua MTU wa ajabu kidogo

Hata zile analytical skills zimepoa kabisa

She should have been balanced in her analyses

Kwa sasa ni Bora kubishana na mashabiki wa soka la bongo kuliko huyu dada

She's busy proving people that she is right kuliko wellbeing ya anaowasimamia
Mimi huyu dada najua babake ni matanzania ila mama sijajua wa asili yake maana yeye ni kama chotara hivi tukijua asili ya mamake itatusaidia kumjua yeye ni mtu gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kutetea mimba na kuwa upande wa wanafunzi, ni utaahira.

Skubaliani na hilo.. Ila CCM isipewe hizo hela watazipiga tu kama zingine.
Pumbav, hata wewe ulikuwa Mimba, mimba ni mimba tu iwe kwa mwanandoa, iwe kwa mwanafunzi au kwa kichaa! Kama sio utahira wetu nini mpaka tunaowaita mabeberu wawatetee watoto wetu!
 
From Rwanda
SOCIETY
Debate: Should pregnant girls be allowed to stay in school? (It's school, not a maternity home)
The debate on whether pregnant teenagers should stay in school raises a lot of issues. But the common English adage 'a rotten apple spoils the barrel' is a good start in this case. A pregnant teenager should stay home until she gives birth so that her presence won't be an encouragement to her peers to also indulge in premarital sex just because they won't be sent away should it happen to them.
Doreen Umutesi
By
Doreen Umutesi
Published : September 12, 2014
1410466993doreen

Doreen Umutesi

The debate on whether pregnant teenagers should stay in school raises a lot of issues. But the common English adage ‘a rotten apple spoils the barrel’ is a good start in this case.

A pregnant teenager should stay home until she gives birth so that her presence won’t be an encouragement to her peers to also indulge in premarital sex just because they won’t be sent away should it happen to them.

If schools do not have policies on pregnant teenagers in school then that’s a bad move. It’s an indication that girls having sex at an early age is fine. And this is where we cannot afford to ‘spare the rod’.

The only way teenage pregnancy can be controlled is by being tough on these kids and emphasising the dangers associated with sex at a tender age. If there are any schools that let pregnant girls continue with their classes like it is not a big deal, they should brace themselves for the many more that will surely follow.

The argument that it’s her right to education and therefore, she should continue with school till she’s ready to give birth is lame. At the end of it, she will miss school either way because she will have to take some time off after birth.
1410466732debate

Pregnant girls should stay home and go back to school after giving birth because other than the bad message her presence would send should she walk around with her bulging tummy, she will not handle the glares and scrutiny from other kids.
She should stay away from school because she will not be able to deal with the stress that comes with discrimination from students, teachers and other parents that come to pick up or drop their children at school.

Its one thing to be the talk of the town or village, and it’s another to be a live example in biology during sexual reproduction class.
With the common cases of high blood pressure caused by pregnancy, it’s a risk if she continues with school. Her growing belly will be the centre of attention at school and this is bound to affect her performance and she might eventually drop out on her own. Teenage pregnancies are far riskier than pregnancies in older women because they are way too young.
According to online experts, teenage pregnancies pose more risks like going into labour early. In most cases she is likely to go in labour 37weeks earlier. What will a teacher do if she goes into labour during class?
Therefore, to save the girl the trouble, its better she stays home and returns to school after she has given birth.

You want to chat directly with us? Send us a message on WhatsApp at +250 788 310 999

Follow The New Times on Google News





// AdSense Code
 
Hivi huyu dada ndio yule aliyekuwa Mkurugenzi wa mambo ya uwekezaji ambaye alitumbuliwa kwa kutokupokea mishahara yake?
 
Anaandika Maria Sarungi

Mambo ni mengi muda mchache
Leo habari imefika mkopo wa World Bank ineidhinishwa kwa ajili ya elimu ya sekondari- nimekuwa bize kuelimisha watu Twitter ila na huku ni vyema tukijikita kusoma kwa kiina mpk maandishi madogo 😂😂maana masharti yako clear ni hivi:

1. Mkopo umeidhinishwa ila hata sh 10 hawapati mpk 2021 na ni BAADA YA kuelewana kuhusu uendeshaji ukiwemo mpango wa kurudi kwa watoto wa kike waliopata mimba mashuleni - bora uchaguzi upite!

2. Serikali imekana kuwa na sera yoyote ya kumfukuza mtoto aliyepata mimba 🤣🤣🤣 so waliokuwa wanafukuza ni “practice” tu! So hata viongozi mnaosema wafukuzwe maana sheria inasema mmekanwa! 😂😂 hayo ni mawazo yenu! Ok? Chezeya pesa wewe?

3. Benki ya Dunia imesema msimamo wake ni kuhakikisha inafuta mazoea ya kufukuza mtoto wa kike aliyepata mimba shule na inataka kuhakikisha wanarudi tena shule za serikali na shule waliotoka! Sasa nasubiri wale wanaojua kujimwabafai waje wajitutumue humu!

4. Hazina ya Marekani imetoa msimamo mkali kuwa ilishapiga ❌ mkopo huu na inataka Management ya World Bank ihakikishe inasimamia watoto wa kike kurudi shule - kumbukeni $ inatoka % kubwa US na ndo wameshikilia mpini! Rais wa World Bank David Malpass katokea huko Treasury!

Na alipendekezwa na Trump! Sasa wale wakujimwambafai naomba kama vipi waseme hawawezi kuendeshwa na mabeberu wagomee mkopo! 🤷🏽‍♀️ Kwa kuhitimisha - watoto wa kike kurudi shule rasmi (si kuwapeleka elimu ya watu wazima) si OMBI ni LAZIMA! Sasa msipotuelewa kwa kelele za mitandaoni mtatuelewa kwa njia nyingine ila hatimaye #TutaelewanaTu

Mkopo huu SIYO WA SERIKALI bali unachukuliwa kwa ajili ya wananchi wa #Tanzania ! Tuna haki ya kuulizia na kufuatilia na kukosoa! Ila haki ya mtoto wa kike tutapigania! Mkopo wataulipa wao na watoto wao pia!
#ArudiShule
#ChangeTanzania
Na kuna suala la watoto wa kike kupimwa mimba pasipo hiari katika shule zetu. Hilo nalo limepingwa. Serikali imesema watoto wa kike hawapimwi. Mwenye pesa amesema atafuatilia!

Amandla.....
 
Back
Top Bottom