kiri12
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 637
- 555
Ni wauzaji na wasambazaji wa chakula bora cha mifugo, wanachakula cha Ng'ombe, hiki hunenepesha ng'ombe wako na kuongeza lita ya maziwa.
Chakula cha nguruwe, kuanzia watoto wa wadogo, mwenye mimba na anayenyonyesha, husaidia kuongeza kilo na kumfanya nguruwe awe imara wakati wa ujauzito wake na unyonyeshaji wa watoto, pia humuongezea kilo hadi kufikia kilo 100- 150.
Chakula cha samaki aina ya Tilapi ama sato, hukupa matokeo mazuri katika ufugaji wako wa samaki.
Chakula cha kuku wa mayai na nyama pia kipo
Karibuni sana, kwa sasa ofisi ipo Mbeya Mafiati wanatazamana na century plaza
Chakula cha nguruwe, kuanzia watoto wa wadogo, mwenye mimba na anayenyonyesha, husaidia kuongeza kilo na kumfanya nguruwe awe imara wakati wa ujauzito wake na unyonyeshaji wa watoto, pia humuongezea kilo hadi kufikia kilo 100- 150.
Chakula cha samaki aina ya Tilapi ama sato, hukupa matokeo mazuri katika ufugaji wako wa samaki.
Chakula cha kuku wa mayai na nyama pia kipo
Karibuni sana, kwa sasa ofisi ipo Mbeya Mafiati wanatazamana na century plaza