huku ushaambiwa hayo yote yameundiwa baraza la ulinzi na usalama wa taifa ambako yatakua chini ya amiri jeshi mkuu ambae pia ni rais wa shirikisho. ngoja waje wajuzi wa mambo haya watakuelesha vizuri.
Maswala ya Jeshi la Polisi yanalazimika kuondolewa kabisa katika influence za rais, rais abaki na mamlaka ya Jeshi la Wananchi ili kuepuka kulitumia Jeshi la Polisi dhidi ya wananchi kwa maslahi binasfi ya kisiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.