Hawa bodi ya mikopo wanaokusanya maden wamekuwa kero hawawajui wanaowadai mara unakuta jina la aliyesoma diploma na degree hajaisoma sasa huwa najiuliza majina yanafanan,wanakosea, makusudi, hawajui wadaiwa halisi ama majina yanafanana tu. Bac vzr watoe na hizo picha kuondoa hali ya sitofahamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.