Marekani yazionya nchi za Afrika Mashariki kuhusu kupiga marufuku mitumba, AGOA matatani

Cicero

JF-Expert Member
Jan 20, 2016
2,924
3,072
AAEAAQAAAAAAAAELAAAAJDE4ZjkwNDIyLTk4OGEtNGY3MS05Njk5LWFiNzgxYmFhMTNhZA.jpg

Taasisi ya U.S Trade Representative (USTR) imesema kuwa inapitia upya faida za kibiashara kwa nchi za Rwanda, Tanzania na Uganda chini ya Sheria ya Ukuaji na Fursa kwa Afrika (African Growth and Opportunity Act(AGOA)) baada ya Malalamiko kutoka kwa wadau wa Marekani kuhusu zuio la mitumba kwa nchi za Afrika Mashariki.

USTR imesema inalazimika kupitia faida hizo baada ya lalamiko(petition) lililopelekwa na Ushirika wa wafanyabiashara wa mitumba kuwa zuio hilo linaweka ugumu mkubwa kwa sekta yao na inakiuka masharti ya AGOA.

Kwa kupitia huko, USTR itaangalia kama lalamiko hilo lina mashiko na pia kuangalia kama Rwanda, Tanzania na Uganda zinafuata masharti ya AGOA.

Hatua hiyo inafuatia uamuzi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi na Sudan Kusini) wa kuzuia kabisa uingizwaji wa mitumba ifikapo 2019 wakidai kuwa itasaidia nchi wanachama kuinua uzalishaji wa nguo.

USTR haikueleza kwanini nchi hizo 3 zilichaguliwa kwa zoezi hilo.

========

The U.S. Trade Representative said on Tuesday it was reviewing trade benefits to Rwanda, Tanzania and Uganda under the African Growth and Opportunity Act (AGOA) after a complaint by U.S. interests about an East African ban on imports of used clothing.

USTR said the "out-of-cycle" review was in response to a petition filed by the Secondary Materials and Recycled Textiles Association (SMART), which complained that the ban "imposed significant hardship" on the U.S. used-clothing industry and violated AGOA rules.

"Through the out-of-cycle review, USTR and trade-related agencies will assess the allegations contained within the SMART petition and review whether Rwanda, Tanzania, and Uganda are adhering to AGOA's eligibility requirements," USTR said in a statement.

The move follows a decision by the six-nation East African Community - Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Tanzania and South Sudan - to fully ban imported second-hand clothes and shoes by 2019, arguing it would help member countries boost domestic clothes manufacturing.

The USTR did not elaborate on why the three countries were singled out for review.


The AGOA trade program provides eligible sub-Saharan countries duty-free access to the United States on condition they meet certain statutory eligibility requirements, including eliminating barriers to U.S. trade and investment, among others.

U.S. AGOA imports from Rwanda, Tanzania, and Uganda totaled $43 million in 2016, up from $33 million in 2015, according to the USTR. U.S. exports to Rwanda, Tanzania, and Uganda were $281 million in 2016, up from $257 million the year before, it said.


(Reporting by Lesley Wroughton; Editing by Jeffrey Benkoe and Cynthia Osterman)


Source: Reuters
 
Yaani ina maana watu ama wavae mchina chochoroni au fundi mangungu viatu na nguo!waache wa dukani waende na wa ilala wajipigilie used pamba na miguuu wakifanya maskhar watu watavaaa vyandarua na matairi ya gari si muda mrefu !
Quqlity and design bado sana sisi
 
Pumb.afu sana hawa jamaa.

Yaan AGOA it is for their own interests

Imports from Rwanda ,Tanzania and Uganda totaled $43 while exports to those countries totaled $281

While the name is African Growth and Opportunities Act I thinks its vice versa , it is aimed to increase American exports to African countries
 
Jumuiya ya Afrika Mashariki iko matatani.......hatujamalizana na Umoja wa Ulaya (EU) kuhusu zile EPA zao tayari Marekani nao wameanza chokochoko..............ndio maana waafrika tunaambiwa tuungane. Hao jamaa hatutawaweza aisee.
 
Hawa jamaa hua najiuliza ukifika muda tunaviwanda vya kutosha hatuagizi vitu kwao kama sasa watatutaftia kisa chochote waturudishe nyuma ...yabidi ziwekwe sera zakuilinda Africa mapema
 
Hawa jamaa hua najiuliza ukifika muda tunaviwanda vya kutosha hatuagizi vitu kwao kama sasa watatutaftia kisa chochote waturudishe nyuma ...yabidi ziwekwe sera zakuilinda Africa mapema
Hilo haliwezekani bila kuungana. Vijinchi vyetu ni vidogo mno kuwa na impact yoyote on world politics/economics. Viva EAC!
 
Yaani wanataka tuvae hadi vyupi na Nguo nyingine za ndani mitumba tena kwa lazima. OMG
 
Du! sijaambulia lolote walah!ntarudi
Mwakilishi wa Biashara wa Umoja wa Mataifa alisema Jumanne ilikuwa kupitia upya faida za biashara kwa Rwanda, Tanzania na Uganda chini ya Sheria ya Kukuza na Maendeleo ya Afrika (AGOA) baada ya malalamiko ya maslahi ya U.S. juu ya kupiga marufuku Afrika Mashariki kwa kuingizwa kwa nguo zilizotumiwa.

USTR alisema mapitio ya "nje ya mzunguko" yalikuwa yanakabiliwa na maombi yaliyotolewa na Vifaa vya Sekondari na Chama cha Usindikaji wa Nguvu (SMART), ambacho kililalamika kuwa marufuku "yaliyosababisha shida kubwa" katika sekta ya mavazi ya Marekani na kukiuka AGOA kanuni.

"Kupitia mapitio ya nje ya mzunguko, USTR na mashirika yanayohusiana na biashara yatapima mashtaka yaliyomo ndani ya maombi ya SMART na kuchunguza kama Rwanda, Tanzania, na Uganda wanashikilia mahitaji ya kustahiki ya AGOA," USTR alisema katika taarifa.

Uhamiaji unafuatia uamuzi wa jumuiya sita ya Jumuiya ya Mashariki ya Afrika - Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Tanzania na Sudan Kusini - kupiga marufuku kikamilifu nguo na viatu vya pili vya mikono ya pili kwa mwaka 2019, wakisema kuwa itasaidia nchi za wanachama kuimarisha nguo za ndani .

USTR hakufafanua kwa nini nchi tatu zilichaguliwa kwa ajili ya ukaguzi.


Programu ya biashara ya AGOA hutoa fursa zinazofaa za nchi za chini ya Sahara za kufikia Uhuru nchini Marekani kwa hali ya kukidhi mahitaji fulani ya kustahiki kisheria, ikiwa ni pamoja na kuondoa vikwazo vya biashara na uwekezaji wa U.S., kati ya wengine.

Uagizaji wa AGOA wa Umoja wa Mataifa kutoka Rwanda, Tanzania, na Uganda ulifikia dola milioni 43 mwaka 2016, kutoka $ 33 milioni mwaka 2015, kulingana na USTR. Uuzaji wa nje nchini Marekani kwenda Rwanda, Tanzania, na Uganda ulikuwa dola 281,000,000 mwaka 2016, kutoka $ 257,000,000 kabla, alisema.

(Taarifa ya Lesley Wroughton, Editing na Jeffrey Benkoe na Cynthia Osterman)
 
Pumb.afu sana hawa jamaa.

Yaan AGOA it is for their own interests

Imports from Rwanda ,Tanzania and Uganda totaled $43 while exports to those countries totaled $281

While the name is African Growth and Opportunities Act I thinks its vice versa , it is aimed to increase American exports to African countries
Not real!
 
Hawa jamaa hua najiuliza ukifika muda tunaviwanda vya kutosha hatuagizi vitu kwao kama sasa watatutaftia kisa chochote waturudishe nyuma ...yabidi ziwekwe sera zakuilinda Africa mapema
Ndio maana yake mkuu
 
Ndivo dunia izunguke, lazima kuwe na tajiri na maskini. Tajiri atafanya juu chini maskini abaki hivo.
Maskini naye akikosa kuerevuka na kufanya sacrifice, atabaki hivo. Tunafaa tufanye analysis kama Agoa ni worth fighting for.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom