gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Kwa akili za viongozi jamii ya pombe, bashite, gumbo n.k kwa kuona wenye mawazo mbadala ni adui wa taifa usahau kufika hukoHawa jamaa hua najiuliza ukifika muda tunaviwanda vya kutosha hatuagizi vitu kwao kama sasa watatutaftia kisa chochote waturudishe nyuma ...yabidi ziwekwe sera zakuilinda Africa mapema