Marekani yawa namba moja duniani katika maambukizi ya Corona, yafikisha visa zaidi ya 82,000

Kesho kukikucha US atakuwa ashagongwa cases 100k
Wakati China imekuwa ikishika namba 1 bila mpinzani kwa miezi kadhaa, huku ikinuswa nuswa na Italy, watu wengi tulidhani kuwa Italy ndiyo itashika nafasi ya China siku chache zijazo. Lakini mambo yamekuwa tofauti mno.

Kwa ghafla Marekani imempita Italy na hapo hapo ikampiku China. Kwa sasa Marekani imefikisha zaidi ya visa vya corona 83,000, ikifuatiwa na China yenye visa takriban 81,000 huku Itali ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na visa takriban 80,500.

Hata hivyo kasi ya maambukizi nchini Italy ni kubwa mno, huwenda ikaipiku China ndani ya siku mbili tatu.

Update 27 March.
Visa vya corona nchini US vimefikia zaidi ya 96,000 huku zaidi ya vifo 1450 vikiripotiwa.

Italy imeipiku China, ikirikodi visa takriban 86,000 wakati china ikiwa na visa karibu 81,000. Kwa hiyo Italy imekuwa namba 2.

Kwa mujibu wa Utafiti uliofanyika University of Washington, inakadiriwa kuwa mpaka July (ndani ya miezi minne hivi) vifo vya corona nchini US vitakuwa wastani wa 91,000.
Katika uchambuzi wa data, utafiti huo umeainisha kuwa vifo hivyo vyaweza kufikia hadi 162,000.

View attachment 1401241



View attachment 1401246
 
1585335980708.png


Coronavirus: See How Russian President, Vladimir Putin Hold Meeting
 
Nyingine hii hapa ya watu weupe walioshikilia ubongo wako.

Watafiti Wamarekani wakitumia data za CDC (ya US) wame predict kuwa wamarekani kati ya laki mbili (200,000) mpaka milioni moja na laki saba (1,700,000) watakufa kwa corona.

Ukija hapa uwe umejipanga, nina data za kutosha tena nitakupa zile unazoziamini wewe, za watu wasio weusi.

View attachment 1401279
This is funny! Iko estimated up to 900k Iranians wameambukizwa corona hadi sasa ila kwa kuwa ile nchi ni hell no fools will figure it out!

Hizo ni prediction zinaweza zikatukia ama zisitukie, America ni kitu kingine sisi raia wa Tanzania tu wenye hati za ukazi huku mambo wanayotufanyia sasa na hakuna national announcement ya lockdown despite of baadhi ya miji kusihi wakazi wake wakae ndani ni hatari hatari natamani hata familia yangu yote ingekuwa huku kipindi hiki.

Tunapata kila kitu, robots zinaleta dawa, drones zinatujulia hali sasa waliopata maambukizi wanaachaje kupona?
 
Ngoja tutumie maneno ya hao wasio weusi ambao wameshikilia bongo yako.

Utafiti wa University of Washington waonesha mpaka July hii, vifo vya corona nchini US vitakuwa zaidi ya 81,000. Bali vinaweza kufikia hadi 162,000.

View attachment 1401253
Sio wameshikilia, wamekushika hadi wewe and you can't deny that!
Huo ni utafiti wa kinadharia nothing like that will happen.

Hili taifa ni tajiri sana lina kila kitu virus will be gone very soon, kawaeleze Wairan hayo nobody in America is watching tv or reading those shit research trust me
 
Hili taifa ni tajiri sana lina kila kitu virus will be gone very soon
Kwi..kwi...kwi..Miafrika bwana, yaani kwa kuwa unapata chakula bure hivi sasa basi waona hakuna nchi tajiri kama US.

Eti kila kitu kinapatikana!

Yaani hata vifaa vya kupimia bado ni tatizo ukilinganisha na baadhi ya nchi zingine zilizoendelea.

Vitanda vya ICU vipo 3,000 nchi nzima na vinavyohitajika ni 40,000.

Kuna upungufu wa hospitali n.k. Ila kwa kuwa wewe unapata chakula bure sasa, waona bora hali iendelee hivyo hivyo.

2020-03-29 12.57.26.jpg
 
Do you got Iranians data?
Napendelea kufatilia zaidi maendeleo ya corona US kwa kuwa hawa ndio super power wetu, na pia nyie mlidai mwanzo kuwa ndio waliotengeneza kirusi cha corona.

Ila nikihitaji data za nchi nyingine yoyote pia napata (kama zapatikana).

Kwa mfano hiyo Iran uliyoitaja, yenyewe ilitanguliwa kukumbwa na korona, data zake hazijafikia idadi ya watu 500 kufa kwa siku moja.

Leo huenda US wakapoteza watu 700 kwa corona. Mie si mtabiri, ninachofanya ni kusoma mtiririko wa matukio na kuyatafakari.

2020-03-29 13.19.15.jpg
 
Napendelea kufatilia zaidi maendeleo ya corona US kwa kuwa hawa ndio super power wetu, na pia nyie mlidai mwanzo kuwa ndio waliotengeneza kirusi cha corona.
Unaweza kunionyesha hao watu waliokuwa wanasema America ndio ilitengeneza Corona nione kama wana akili timamu?

Ila nikihitaji data za nchi nyingine yoyote pia napata (kama zapatikana).

Kwa mfano hiyo Iran uliyoitaja, yenyewe ilitanguliwa kukumbwa na korona, data zake hazijafikia idadi ya watu 500 kufa kwa siku moja.
Embu nionyeshe hizo takwimu

Leo huenda US wakapoteza watu 700 kwa corona. Mie si mtabiri, ninachofanya ni kusoma mtiririko wa matukio na kuyatafakari.

View attachment 1402974
Watu wengi wanaokufa kwa corona America ni wagonjwa wa diabetes
 
Kwi..kwi...kwi..Miafrika bwana, yaani kwa kuwa unapata chakula bure hivi sasa basi waona hakuna nchi tajiri kama US.

Eti kila kitu kinapatikana!

Yaani hata vifaa vya kupimia bado ni tatizo ukilinganisha na baadhi ya nchi zingine zilizoendelea.

Vitanda vya ICU vipo 3,000 nchi nzima na vinavyohitajika ni 40,000.

Kuna upungufu wa hospitali n.k. Ila kwa kuwa wewe unapata chakula bure sasa, waona bora hali iendelee hivyo hivyo.

View attachment 1402949
Sawa keep your wordometers shits i don't need it
 
Unaweza kunionyesha hao watu waliokuwa wanasema America ndio ilitengeneza Corona nione kama wana akili timamu?


Embu nionyeshe hizo takwimu


Watu wengi wanaokufa kwa corona America ni wagonjwa wa diabetes
Hata wanaokufa mataifa mengine wanakua namatatizo mengine pia ila akija mkubwa wao CORONA Ndio anawapukutisha

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom