#COVID19 Marekani yatoa msaada wa dozi Milioni 1 za Chanjo ya Coronavirus

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
Marekani imeipatia Serikali ya #Tanzania zaidi ya dozi milioni 1 za chanjo dhidi ya COVID-19, ukiwa ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa #COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika

Upokeaji wa Chanjo hizo umefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ukiongozwa na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima.

2855970_IMG-20210724-WA0026.jpg
 
Marekani imeipatia Serikali ya #Tanzania zaidi ya dozi milioni 1 za chanjo dhidi ya COVID-19, ukiwa ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa #COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika

Upokeaji wa Chanjo hizo umefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ukiongozwa na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima.
Tatizo kubwa la bi mkubwa ni katiba na demokrasia ya vyama vingi.
 
Promising

Ni aina gani ya chanjo?

Nimetafuta mitandaoni lakini so far inaonekana hakujakua updated
 
Marekani imeipatia Serikali ya #Tanzania zaidi ya dozi milioni 1 za chanjo dhidi ya COVID-19, ukiwa ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa #COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika

Upokeaji wa Chanjo hizo umefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ukiongozwa na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima.

81DFBEF8-8EE2-4400-A46B-6E23206284FE.png


4BBAB979-D562-4BC0-B96B-826B590DCBA6.png
 

The Latest: Tanzania gets 1 million J&J vaccines from U.S.​

kesq-us-world.png

DAR ES SALAAM, Tanzania — Tanzania has received its first batch of 1 million Johnson & Johnson COVID-19 vaccines donated by the U.S. government.

Tanzania had been among the few countries in Africa yet to receive vaccines or start vaccinating its population, mainly because its former leader had claimed prayer had defeated COVID-19 in the country. The vaccines were received by the foreign affairs minister and the U.S. ambassador at the airport in Dar es Salaam.

Former Tanzanian President John Magufuli, who died in March, had refused to accept vaccines after he claimed three days of prayer had healed the country of the virus in June 2020.

Magufuli’s deputy, Samai Suluhu Hassan, took over as president in line with the country’s constitution and became the first female president in Tanzania.

Hassan has reversed Tanzania’s practice of denying COVID-19′s spread in the East African country.
 
Back
Top Bottom