Marekani yapiga marufuku kampuni za China kwa unyanyasaji wa Waislamu

China imekuja kuwa tishio kwa marekani miaka hii ya 2000s.Huko nyuma labda uniambie USSR/Russia,Huko nyuma marekani hakuwahi kuwekeza nyuvu kupambana na china kama livyowekeza kwa USSR.Sasa ukiniambia walishindwa sijui una maana gani.
Mkuu, Hapana SIYO KWELI. Marekani alipambana na kila taifa lenye vinasaba vya kikomunisti hapa duniani, liwe kubwa au dogo, taifa la Uchina likiwa juu kabisa ya orodha. Historia ibaki kuwa historia ,tusiizungumze bila kutoa uthibitisho maana tutakuwa tunafanya HISTORICAL REVISIONISM.

Marekani alianza kupambana na Uchina tokea mwaka 1946 kwenye The Chinese Civil War akiiunga mkono Serikali ya kitaifa ya Uchina ya Chiang Kai-Shek dhidi ya vikosi vya kikomunisti vya Mao Tse-Tung.Asilimia 57 ya vifaa vya kijeshi vya Chiang kuanzia ndege hadi mizinga vilitolewa na serikali ya Marekani.

Mwaka 1948 bunge la Marekani lilipitisha sheria iitwayo The Chinese Aid Act ambayo ilihalalisha Marekani kumsaidia kijeshi Chiang kupambana na vikosi vya kikomunisti vya Mao Tse-Tung. Wakati huko Ulaya wanapata The Marshall Aid chini ya The Marshall Plan ili kumkabili USSR, Chiang alipewa The China Aid ili kuzuia wakomunisti wasichukue nchi. Hili halikusaidia kitu maana serikali ya Chiang ilibagazwa vibaya na kukimbilia uhamishoni kule Taiwan.

Mwaka 1951 baada ya kuzidiwa na vikosi vya wakomunisti wa Uchina kwenye vita ya Korea General Douglas MacArthur alitaka kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Uchina na Korea Kaskazini akiamini kwamba angeshinda vita ndani ya siku kumi tu na kumrudisha Chiang madarakani kutoka Taiwan lakini President Harry Truman akaogopa na kumfuta kazi.

Uchina akashinda akajitanua Korea Kaskazini na tokea mwaka 1953 hajaondoka kule mpaka leo hii. Marekani kwa kuwaogopa wakomunisti wa Uchina aliamua kujenga kambi za kijeshi za kudumu kule Japan ambako akaamua hadi kuwatoa wahalifu wa kivita kama Nobusuke Kishi na kuwapa madaraka ili wamsaidie kupambana na Uchina.

Huyu Nobusuke Kishi alikuwa babu yake na Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe na kabla ya hapa alihukumiwa na The Special Military Tribunal for Far East kwa makosa ya vita ya pili ya dunia. Juhudi zote hizi za Marekani ziliashiria kwamba Uchina alikuwa ni tishio kubwa kwa maslahi ya taifa la Marekani tokea kitambo.

Marekani aliitenga Uchina ya kikoministi kiuchumi na kidiplomasia. Mao Tse-Tung alishawahi andika barua kwa maraisi wa Marekani kuomba amani na ushirikiano wa kibiashara na Marekani lakini hakujibuwa mpaka miaka ya 1970 ambapo Raisi Nixon alifanya mazungumzo na Waziri Mkuu Zhou Enlai.

Marekani aliamini kabisa kumtenga Uchina kungezuia ustawi wake wa kisayansi na kiteknolojia lakini mwaka 1964 aliwaacha midomo wazi baada ya kufanya jaribio la kwanza la mabomu ya kiatomiki kule Lop Nur. Jaribio hili liliwavuruga Marekani na Washirika wake kwasababu walikuwa wanapigana na wakomunisti kule Vietnman.

Waliwahi hadi kufanya mazungumzo yasiyo rasmi na Serikali ya Warusi ili kumzuia Uchina asitengeneze zaidi silaha za kiatomiki. Lakini unadhani ameweza ?

Mwaka 1972 Marekani akashindwa tena kumzuia Uchina kupata kiti ndani ya baraza la ulinzi la UN, baada ya Taiwan kunyang'anywa na kufukuzwa. Zaidi ya hapo mwaka 1979 Marekani akaamua kukubali kuitambua rasmi Serikali ya Kikoministi ya Uchina ili kumfanya asishikamane na Urusi wakati wa vita baridi.

Mwaka 1993 Marekani aliweka vikwazo vyenye kiwango cha dola za kimarekani milioni 500 dhidi ya Uchina, akizuia vifaa maalumu vya kutengeneza Satellite kuuzwa Uchina akidhani atawazorotesha wachina lakini hakufanikiwa leo hii wao ndiyo wa kwanza kurusha The First Quantum Satellite nje ya dunia.

Historia inaonyesha kuwa Marekani alianza kuhangaika na tishio la Uchina punde tu baada ya vita ya pili ya dunia kuisha mwaka 1945 na siyo mwaka 2000 kama unavyosema hapa.

Miaka zaidi ya mia mbili iliyopita Mfalme Napoleone Bonaparte wa Ufaransa aliwahi kusema hivi kuhusu taifa la Uchina" China is a sleeping giant. Let her sleep, for when she wakes she will move the world"
 
Mada ishabadilika tena. Anayejadiliwa ni Marekani na siyo China tena kuwanyanyasa waislamu. Hapa ndiyo ujue hata wenye dini wenyewe hawajielewi kwasababu ya roho mbaya walizonazo kwasababu wenyewe kwa wenyewe hawapendani. Marekani mnafiki na ana roho mbaya na China ana roho nzuri. China hao waislamu watese, wanyime social service zote na ikibidi uwa wote wasiwepo kwenye nchi yako maana mwisho wa siku watakuwa magaidi. Marekani anawatetea waislamu walioko china wao wanaona ni mnafiki na China anaroho nzuri. China kamatia hapo hapo mpaka watie akili na warudi walikotoka. Hapa naungana na China sababu anaroho nzuri kuliko Marekani
Umeongea jambo la maana sana..leo China anawatesa waislamu wa naona sawa ..kesho marekani akiwapiga ban wanalialia..
Leo Uturuki inawakandamiza na kuwaua kikatiri waislamu(Kurds) wa Syria wanaona sawa ila Marekani akiwapiga mujahedeen wa Afghanistan wanalia..
Leo Warusi wakiwapiga na kuwachinja kikatiri waislamu (Chechnya) wanaona sawa ila Israel akiwadhibiti kibabe waislamu(Palestine) wanalia..
Leo Serikali ya Iraq na Syria inawaua waislamu ila India akiwadhibiti kinguvu waislamu(Kashmir) wanalia..
Mifano ni mingi .Mimi ndio maana imefikia wakati huwa hata humu kwenye jukwaa nashindwa kutoa michango ya kuwaunga mkono au kuwahurumia maana naona wengi wao ni wanafiki..
 
USA waache kulialia kama katoto kalikokosa lawalawa, washughulikie matatizo yao na Trump!
 
Leo hii Iran anamnyooshea kidole Saudi Arabia kuwa atoke Yemeni anajua watu ( ingawa amealikwa na raisi halali wa Yemen,Hadi) lakini yeye Irani yupo Syria na anaua watu ( pia amealikwa na raisi Assad) ..wanasema USA atoke Syria ..wakati Uturuki yupo Syria na anaua watu wasio na hatia pia anasapoti magaidi lakini hawalisemi hilo..
Unafiki ni mbaya sana!
Mada ishabadilika tena. Anayejadiliwa ni Marekani na siyo China tena kuwanyanyasa waislamu. Hapa ndiyo ujue hata wenye dini wenyewe hawajielewi kwasababu ya roho mbaya walizonazo kwasababu wenyewe kwa wenyewe hawapendani. Marekani mnafiki na ana roho mbaya na China ana roho nzuri. China hao waislamu watese, wanyime social service zote na ikibidi uwa wote wasiwepo kwenye nchi yako maana mwisho wa siku watakuwa magaidi. Marekani anawatetea waislamu walioko china wao wanaona ni mnafiki na China anaroho nzuri. China kamatia hapo hapo mpaka watie akili na warudi walikotoka. Hapa naungana na China sababu anaroho nzuri kuliko Marekani
 
Ikulu ya Marekani walikuwepo watu hatari mno kama Lyndon B Johnson, Richard Nixon, Ronald Reagan, Bush Jr, Bush Sr na Bill Clinton lakini hawakuizuia Uchina kufika hapa ilipofika leo. Unadhani Trump ndiyo ataweza ?
Duh had bush nae una mueka humo ama kwel umepotea!! Hawez mzuiai asifike anako taka kwenda ila china yenyewe ndo itajikwamisha! Just wait and see then utakuja jua nn namaanisha!
 
Duh had bush nae una mueka humo ama kwel umepotea!! Hawez mzuiai asifike anako taka kwenda ila china yenyewe ndo itajikwamisha! Just wait and see then utakuja jua nn namaanisha!
Wacha porojo wewe! Hivi baada ya kuisha vita baridi kuna raisi wa Marekani aliyekuwa more menacing and trigger happy than Bush Jr ! Kama huyu mhafidhina hakuwaweza wachina unadhani mcheza kamali wa Wallstreet atawaweza ?
 
Mkuu, Hapana SIYO KWELI. Marekani alipambana na kila taifa lenye vinasaba vya kikomunisti hapa duniani, liwe kubwa au dogo, taifa la Uchina likiwa juu kabisa ya orodha. Historia ibaki kuwa historia ,tusiizungumze bila kutoa uthibitisho maana tutakuwa tunafanya HISTORICAL REVISIONISM.

Marekani alianza kupambana na Uchina tokea mwaka 1946 kwenye The Chinese Civil War akiiunga mkono Serikali ya kitaifa ya Uchina ya Chiang Kai-Shek dhidi ua vikosi vya kikomunisti vya Mao Tse-Tung.Asilimia 57 ya vifaa vya kijeshi vya Chiang kuanzia ndege hadi mizinga vilitolewa na serikali ya Marekani.

Mwaka 1948 bunge la Marekani lilipitisha sheria iitwayo The Chinese Aid Act ambayo ilihalalisha Marekani kumsaidia kijeshi Chiang kupambana na vikosi vya kikomunisti vya Mao Tse-Tung. Wakati huko Ulaya wanapata The Marshall Aid chini ya The Marshall Plan ili kumkabili USSR, Chiang alipewa The China Aid ili kuzuia wakomunisti wasichukue nchi. Hili halikusaidia kitu maana serikali ya Chiang ilibagazwa vibaya na kukimbilia uhamishoni kule Taiwan.

Mwaka 1951 baada ya kuzidiwa na vikosi vya wakomunisti wa Uchina kwenye vita ya Korea General Douglas MacArthur alitaka kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Uchina na Korea Kaskazini akiamini kwamba angeshinda vita ndani ya siku kumi tu na kumrudisha Chiang madarakani kutoka Taiwan lakini President Harry Truman akaogopa na kumfuta kazi.

Uchina akashinda akajitanua Korea Kaskazini na tokea mwaka 1953 hajaondoka kule mpaka leo hii. Marekani kwa kuwaogopa wakomunisti wa Uchina aliamua kujenga kambi za kijeshi za kudumu kule Japan ambako akaamua hadi kuwatoa wahalifu wa kivita kama Nobusuke Kishi na kuwapa madaraka ili wamsaidie kupambana na Uchina.

Huyu Nobusuke Kishi alikuwa babu yake na Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe na kabla ya hapa alihukumiwa na The Special Military Tribunal for Far East kwa makosa ya vita ya pili ya dunia. Juhudi zote hizi za Marekani ziliashiria kwamba Uchina alikuwa ni tishia kubwa kwa maslahi ya taifa la Marekani tokea kitambo.

Marekani aliitenga Uchina ya kikoministi kiuchumi na kidiplomasia. Mao Tse-Tung alishawahi andika barua kwa maraisi wa Marekani kuomba amani na ushirikiano wa kibiashara na Marekani lakini hakujibuwa.

Marekani aliamini kabisa kumtenga Uchina kungezuia ustawi wake wa kisayansi na kiteknolojia lakini mwaka 1964 aliwaacha midomo wazi baada ya kufanya jaribio la kwanza la mabomu ya kiatomiki kule Lop Nur. Jaribio hili liliwavuruga Marekani na Washirika wake kwasababu walikuwa wanapigana na wakomunisti kule Vietnman.

Waliwahi hadi kufanya mazungumzo yasiyo rasmi na Serikali ya Warusi ili kumzuia Uchina asitengeneze zaidi silaha za kiatomiki. Lakini unadhani ameweza ?

Mwaka 1972 Marekani akashindwa tena kumzuia Uchina kupata kiti ndani ya baraza la ulinzi la UN, baada ya Taiwan kunyang'anywa na kufukuzwa. Zaidi ya hapo mwaka 1979 Marekani akaamua kukubali kuitambua rasmi Serikali ya Kikoministi ya Uchina ili kumfanya asishikamane na Urusi wakati wa vita baridi.

Mwaka 1993 Marekani aliweka vikwazo vyenye kiwango cha dola za kimarekani milioni 500 dhidi ya Uchina, akizuia vifaa maalumu vya kutengeneza Satellite kuuzwa Uchina akidhani atawazorotesha wachina lakini hakufanikiwa leo hii wao ndiyo wa kwanza kurusha The First Quantum Satellite nje ya dunia.

Historia inaonyesha kuwa Marekani alianza kuhangaika na tishio la Uchina punde tu baada ya vita ya pili ya dunia kuisha mwaka 1945 na siyo mwaka 2000 kama unavyosema hapa.

Miaka zaidi ya mia mbili iliyopita Mfalme Napoleone Bonaparte wa Ufaransa aliwahi kusema hivi kuhusu taifa la Uchina" China is a sleeping giant. Let her sleep, for when she wakes she will move the world"
Natamani akuelewe mkuu

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Leo hii Iran anamnyooshea kidole Saudi Arabia kuwa atoke Yemeni anajua watu ( ingawa amealikwa na raisi halali wa Yemen,Hadi) lakini yeye Irani yupo Syria na anaua watu ( pia amealikwa na raisi Assad) ..wanasema USA atoke Syria ..wakati Uturuki yupo Syria na anaua watu wasio na hatia pia anasapoti magaidi lakini hawalisemi hilo..
Unafiki ni mbaya sana!
Hadi rais halali wa yemen gan ?!

Halaf unatakiwa uelewe hakuna anae uunga mkono ukatili wa CHINA US Ila Huyo anaetetea waislam nae ni mnyonyaji wa waislam ss hpa utetezi uko wapi ?!

Nahakuna anae unga mkono mauaji popote pale yawe ya waislam wakristo ama wasio na dini hata yafanywe na nani

Kila m2 ana haki zakuishi na sio umchagulie dini

US Mnafiq 2 Kama Alivyo CHINA

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Mada ishabadilika tena. Anayejadiliwa ni Marekani na siyo China tena kuwanyanyasa waislamu. Hapa ndiyo ujue hata wenye dini wenyewe hawajielewi kwasababu ya roho mbaya walizonazo kwasababu wenyewe kwa wenyewe hawapendani.

Marekani mnafiki na ana roho mbaya na China ana roho nzuri. China hao waislamu watese, wanyime social service zote na ikibidi uwa wote wasiwepo kwenye nchi yako maana mwisho wa siku watakuwa magaidi.

Marekani anawatetea waislamu walioko china wao wanaona ni mnafiki na China anaroho nzuri. China kamatia hapo hapo mpaka watie akili na warudi walikotoka. Hapa naungana na China sababu anaroho nzuri kuliko Marekani
hahahaaaa,mbavu zangu mie
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom