Marekani yapata PIGO lingine

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Zaidi ya wanajeshi 30 wanasadikiwa kuuwawa baada ya helcopter waliokuwa wakisafifia kutunguliwa na wanamgambo wa TALIBAN,kwa hakika ni habar mbaya kwa wana NATO,inasadikia wanajesh wa kimarekan walikuwa ni zaidi ya 20
 
Mbaya zaidi ni kwamba wanajeshi 20 waliokufa ni wale waliokuwa kwenye Navy Seal team iliyomuua Osama.Pigo kubwa hili na sijui respond yao itakuwaje.
 
Mbaya zaidi ni kwamba wanajeshi 20 waliokufa ni wale waliokuwa kwenye Navy Seal team iliyomuua Osama.Pigo kubwa hili na sijui respond yao itakuwaje.
<br />
<br />
heee kumbe ndio move ilivyoo???kweli muosha HUOSHWA
 
imekula kwao.Yaani hiyo imekaa poa kweli,kwani America ndio wanaosababisha machafuko duniani na lengo lao wao wafaidike tu. Hakuna dola iliyokuwa na nguvu kama Ottoman,Rumi lakini ziliporomoka na sasa Amerika karibu kufa na Wachina huenda wakachukua kama sio India.
 
Size yao, wacha wapate uchungu na wao. Wamezoea kuuwa watu wasio na hatia. Na hata bado wataendelea kufa. Yatawashinda muda si mrefu. Subiri tuone.
 
Zaidi ya wanajeshi 30 wanasadikiwa kuuwawa baada ya helcopter waliokuwa wakisafifia kutunguliwa na wanamgambo wa TALIBAN,kwa hakika ni habar mbaya kwa wana NATO,inasadikia wanajesh wa kimarekan walikuwa ni zaidi ya 20
<br />
<br />
Hii itapozo kifo cha Osama bin Laden maana wataliban nao watasheherekea vifo hivi.
 
Ni ukweli ingawa marekani inadai ni ajali na ku masahihisho kidogo ni kwamba walikufa ni wanajeshi 38 na kati ya hao 31 ni wa marekani ambao kwa sehemu kubwa ni Special Force ambao kwa kama makomandoo hivyo hiyo ni hasara na aibu kubwa kwao na ndiyo maana wanasema ni ajaliya kawaida
 
Ni ukweli ingawa marekani inadai ni ajali na ku masahihisho kidogo ni kwamba walikufa ni wanajeshi 38 na kati ya hao 31 ni wa marekani ambao kwa sehemu kubwa ni Special Force ambao kwa kama makomandoo hivyo hiyo ni hasara na aibu kubwa kwao na ndiyo maana wanasema ni ajaliya kawaida
<br />
<br />
asante,
hapo hasara si kwa serikali wala kwa jeshi,bali ni kwa wanafamilia tu
 
Kumbe hamna anayependa huu ubabe wa Marekani, kwani vita inafaida gani? naomba mnijuze, maana mi najua hasara zake tu, now nataka kujua faida ya vita.
 
Lakin inaweza ikawa ni usanii wa usa katika kuihadaa dunia,maana hawa jamaa kwa propaganda hawajambo wadau
 
Time to bring all those soldiers home and cut military spending by half.
 
Back
Top Bottom