bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Mamluki wa Wagner hatimaye wamewekwa kwenye kundi linalowastahili kwa sasa kinatambulika kama kikundi cha kihalifu cha kimataifa.
Tamko hili limekuja baada ya kikundi hiki kuhusika na kuendelea kuhusika na umwagaji damu pamoja na uvamizi wake haramu nchini Ukraine tukumbuke kikundi hiki kinamilikiwa na rafiki wa karibu wa Putin na kimekua kikipata msaada wa fedha na silaha kutoka serikali ya Urusi na pia katika mishe zao za kivita.
Kwa sasa inasadikika wagner wana mamluki karibia 50,000 nchini Ukraine na wengi wao wakiwa wafungwa kutoka magereza mbalimbali waliopatikana kutokana na kampeni ya Mobilization unapelekwa vitani kama chambo kwa muda wa miezi 6 then ukifanikiwa kupona unakua huru.
Tumeona pia vijana wetu wa Afrika Tanzania pamoja na Zambia wakiwa wahanga wa hili kundi na kupoteza maisha yao baada ya kutolewa kama Chombo mstari wa mbele pale Bakhmut.
Kwa Afrika kundi hili lipo nchi mbalimbali kama vile Mali, Libya, Sudan, Central Africa na ikisadikika wanapata pesa nyingi sana za ufadhili wa vita nchini Ukraine kwa kuiba Zahabu kutoka Central Afrika.
Kwa mantiki hiyo baada ya hili kundi kutambulika kama kikundi cha kigaidi kitakachofwata ni kuwekewa vikwazo vya kimataifa hili litahusu pia nchi zote ambazo kikundi hii kina operate.
Tamko hili limekuja baada ya kikundi hiki kuhusika na kuendelea kuhusika na umwagaji damu pamoja na uvamizi wake haramu nchini Ukraine tukumbuke kikundi hiki kinamilikiwa na rafiki wa karibu wa Putin na kimekua kikipata msaada wa fedha na silaha kutoka serikali ya Urusi na pia katika mishe zao za kivita.
Kwa sasa inasadikika wagner wana mamluki karibia 50,000 nchini Ukraine na wengi wao wakiwa wafungwa kutoka magereza mbalimbali waliopatikana kutokana na kampeni ya Mobilization unapelekwa vitani kama chambo kwa muda wa miezi 6 then ukifanikiwa kupona unakua huru.
Tumeona pia vijana wetu wa Afrika Tanzania pamoja na Zambia wakiwa wahanga wa hili kundi na kupoteza maisha yao baada ya kutolewa kama Chombo mstari wa mbele pale Bakhmut.
Kwa Afrika kundi hili lipo nchi mbalimbali kama vile Mali, Libya, Sudan, Central Africa na ikisadikika wanapata pesa nyingi sana za ufadhili wa vita nchini Ukraine kwa kuiba Zahabu kutoka Central Afrika.
Kwa mantiki hiyo baada ya hili kundi kutambulika kama kikundi cha kigaidi kitakachofwata ni kuwekewa vikwazo vya kimataifa hili litahusu pia nchi zote ambazo kikundi hii kina operate.