Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,420
- 19,442
Issue sio kupenda au kutopenda issue ni kujisifia kwamba Corona imeua sana kule kuliko huku.., (Hence Mungu anatupenda) Tunasahau kwamba Malaria Ukimwi, Vifo vya watoto wachanga ni vingi huku kuliko kule...Data zikitolewa mnapinga na kudai zimepikwa,hamjulikani kipi mnapenda ,jua au mnvua
Na tunajua kabisa vulnerable people kule ni wengi kuliko huku (wa huku wengi walishakufa)..., Kwahio tujiandae likija gonjwa lenye mortality rate kubwa na llinaloambukiza sana... Sitaki kufikiri what will happen