wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,148
Tukubaliiane madhara ya Corona kwa nchi yetu si makubwa, tumeushinda ugonjwa huu, japo umechukua maisha ya baadhi ya ndugu zetu.
Ukiangalia hali ya huduma za kiafya za nchi kama Amerika (bora zaidi) kulinganisha na huduma za kiafya za nchi kama yetu (duni), mungu katufanyia huruma ya hali ya juu sana.
Tumsifu sana Mungu wetu,ugonjwa huu hauna mjinga wala mwerevu.
Ukiangalia hali ya huduma za kiafya za nchi kama Amerika (bora zaidi) kulinganisha na huduma za kiafya za nchi kama yetu (duni), mungu katufanyia huruma ya hali ya juu sana.
Tumsifu sana Mungu wetu,ugonjwa huu hauna mjinga wala mwerevu.