King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,515
Pole ya nini boss?Pole mkuu
Pole ya nini boss?Pole mkuu
Pole sana ila usichoke mbona chakula unakula kila siku.Habari njema hii mambo ya kumeza kila siku dawa inachosha.
Mimi nitakuwa wa kwanza kupongeza huo ukataaji hizo dawa ila tatizo watu wameshazila sana na ndio imekuwa uzima wao wakiwachisha kichwa kichwa unawauwa.Na hiyo ikataeni kama mnavyopinga chanjo ya covid 19.
Asante Mkuu.Pole sana ila usichoke mbona chakula unakula kila siku.