Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Iligunduliwa na mtanzania? teteteteteHata ile gesi ya Mtwara si ya kwetu.
Iligunduliwa na mtanzania? teteteteteHata ile gesi ya Mtwara si ya kwetu.
😂😂😂😂Iligunduliwa na mtanzania? tetetetete
Ulitegemea watoe ngapi?Marekani pekee karibu wanatumia barrel milion 18 kwa siku. Sasa Biden anasema anatoa barrel milion 80! Si ni utani huo! Mafuta ambayo hayawezi kutosha siku 5 kwa US unasema unapunguza shock ya uhaba wa mafuta duniani!!!
Wafanyabiashara wameona ni utani!
Hatari sn😂😂😂😂
Sijui.Ulitegemea watoe ngapi?
Hivi siku 15 hazijaisha?Mafuta yanatosha kwa siku 15 pekee sasa jiulize ni kiasi gani.