fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Issue sio mitambo bali mikataba ya kifisadi, kila mmoja anajua aina ya mitambo ni ya kisasa.
Kwa sheria yetu ya manunuzi ya umma hatuwezi kununua mitambo mtumba sio kwasababu ya Mwakyembe wala Sitta, ukitaka kumchafua mtu unajipanga kwa hoja na sio hadithi za dhaifu ambazo hata mtoto anaweza kung'amua.
Kwa sheria yetu ya manunuzi ya umma hatuwezi kununua mitambo mtumba sio kwasababu ya Mwakyembe wala Sitta, ukitaka kumchafua mtu unajipanga kwa hoja na sio hadithi za dhaifu ambazo hata mtoto anaweza kung'amua.