Amri 10 za Mungu ndio zitakazo tumika kutuhukumu
Za dini ipi?
Amri 10 za Mungu ndio zitakazo tumika kutuhukumu
Ivi hao Wahindi na Atheists huwa wanapendaWahindu je?! Na wale wanaoabudu mizimu?! Na atheists je..?! NINASEMA ULE NI UBAGUZI..!
THERE IS NO SEPARATION OF RELIGION AND STATE!
Amri kumi za Mungu ndizo zinazotumika mahakamani kutuhukumu. Na hata sharia za kiislam zimechenjuliwa toka kwenye kwenye amri kumi.
Usisahau kuwa katika amri kuu za Mungu za kikristo kuna moja inayosisitiza kuwa wewe au mtumwa ( kijakazi) wako msifanye kazi siku ya saba ila muitumie hiyo siku kumtakasa Mungu.Ni mahakama gani duniani inayoitumia amri hiyo kuhukumu watu?
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.Usisahau kuwa katika amri kuu za Mungu za kikristo kuna moja inayosisitiza kuwa wewe au mtumwa ( kijakazi) wako msifanye kazi siku ya saba ila muitumie hiyo siku kumtakasa Mungu.Ni mahakama gani duniani inayoitumia amri hiyo kuhukumu watu?